Donkey
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 1,431
- 1,448
Umewahi kuonja raha ya kusafiri na Ndege Kwa masaa mangapi hewani.toa ushuhuda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
32
(Nimefata post ya kwanza kasema moja nami nimeweka 2 au nimekosea!!!)
US To Tz, ila sio moja kwa moja na sio 25, ni 23/24 hiviToa mrejesho, masaa 25 ukitokea wapi
Nilitaka kujibu 3 kumbe ni mambo ya ndege?. Mi nazionaga tu you tube.2
(Nimefata post ya kwanza kasema moja nami nimeweka 2 au nimekosea!!!)
Andika kutoka Chunya USA hadi Ndebhelwa Tanzania.