sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 18,505
- 41,744
Comment za humu zmejifanya nachek kam chizi.,,mim enzi hzo npo form one nlikuaga asubuh naenda funga mifugo eneo flan jion nazifata ASA SKU nlichelew kwenda kufungulia ASA nkapita kwenye jumba moj nkaskia kam sauti nkasogea nkakuta watu wananyanduana,kuchek ivi ni manz fln iv wakitaa kainamishwa na msela mmoja alikua mchoma chps pale pale kitaan.bs nkala chabo apo mpk mkuyenge unajibip wenyew Kwa jinsi network zlivojaa.ASA walichonichefua niyule jamaa alianza kumbembleza manzi ampe tigo. Dem akajifanya kugoma goma badae akakubali kisa aliaminishwa hatoumia.nkaona hawa wasinitanie nkasepa kwenda kutoa mifugo nkarud na mbwa za home zlikua tatu, nlipokarbia nkazisakizia Kwa kurusha jiwe kilicho tokea hawaj sahau maan, yule Dada speed aliyotoka nayo Hussein bolt akasome .baada ya tukio nkaenda nkakuta kibegi na pichu chin&kanga . kufunguw kibegi nkakuta viatu vipya vidogo na mapochopocho ya kike,nakibeba vile viatu nkaenda MPA DoGo fln iv alikuaga anatembea peku kitaa na nkajua hawez vijua maan vlikua vpya huwez sem vyako na dukan VP vingi.nkikutana nae nkawa namchora tu yule manzi saiv naskia aliolew Moro hko.