Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
halafu unaweza kuona baadhi ya wanaume walivyo wa ajabu, kackia nimepowa, akaanza usumbufu wa calls na kila namna tuweze kuonana, nilikuwa nampa wazi kwamba mie ni mchumba wa mtu na bado cku chache niitwe mrs, ananiambia eti mie ndio nilikuwa chaguo lake, alikuwa ananifanyia vituko kwenye fone mpaka ikabidi nimwambie mr ukweli akaniambia wala ucjali tupo pa1.....tulikutana nipo na mimba ya miezi kadhaa anadani yaani ulivyopendeza mie ndio nilistahili kukupendezesha, nilimkata jicho baya walaah hakuamini.
Hii inatokea pindi alicho kuwa anakitafuta amakipata au amekikosa na kama amekipata amekitumia sasa anaona hakifai anacho fanya nikurudi kule aliko toka au anakumbuka ladha ya zamani ndo anakutafuta Nyamayao kwa gharama yoyote ile imradi alejeshe penzi akisha kutumia na wewe kikapatikana kigeni anakukimbia tena aidha sasa atarudi kwa kile alicho kipata wkt ule. Ndo maisha ya wanaume yalivyo human being is contradictory being.