Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
lol!pole sana mama pretty,
wa kwako umenigusa zaidi na zaidi!sasa vipi,hukufukiria KU-REINSTATE RELATION?
kurestart na yeye exbf au na mwingine? Kama ni yeye alinitoa sana out kipindi nipo single,anamuacha mkewe home na kutoka nami. Ikafika kipindi nikaona hizi out zitakuja kuleta shida, hivyo nikampiga marufuku. Nikamwambia kama unataka out toka na mkeo.