Umewahi kukumbwa na mikasa yoyote ndani ya mahusiano...

lol!pole sana mama pretty,
wa kwako umenigusa zaidi na zaidi!sasa vipi,hukufukiria KU-REINSTATE RELATION?

kurestart na yeye exbf au na mwingine? Kama ni yeye alinitoa sana out kipindi nipo single,anamuacha mkewe home na kutoka nami. Ikafika kipindi nikaona hizi out zitakuja kuleta shida, hivyo nikampiga marufuku. Nikamwambia kama unataka out toka na mkeo.
 
Ohh unajua nisamehe mie bado nakupenda, naomba turudiane. Mie nikamwambia mbona umeoa? Akajibu nilioa kwa kuwa rafiki na ndugu walisema kwamba mwanamke akitoka nje ya nchi sio wa kumsubiria, eti anaweza kusubiri halafu mie nikamtosa. Nikamwambia usicheze na ndoa ilimradi ulioa we endelea na ndoa yako na tubaki marafiki tu.

Ungekubali uwe nyumba ndogo hujui nyumba ndogo zipo juu sana kuliko nyumba kubwa?
 
Wanaume hawa jamani yaani nyie acheni tu. Nilikuwa na ex bf wangu tulipendana kweli, ikafika kipindi nikaenda kusoma nje ya nchi. Mara ya kwanza mawasiliano yalikuwa mazuri baada ya muda mwenzangu akaaza lawama, mara oh we umeenda huko najua utanipiga kibuti tu. Usipotuma sms siku moja mwenzangu anapata sababu, ohh hujatuma sms ushaamua kuniacha.

Ikafika kipindi akaacha kabisa mawasiliano, na mie nikaona isiwe shida nami nikachuna.
Mungu jalia nikamaliza masomo na kurudi home, baada ya kurudi tukaonana na kipindi hicho kumbe tayari alikuwa kaoa.

Tulivyoonana tu, mara tena akaanza kuleta za kuleta. Ohh unajua nisamehe mie bado nakupenda, naomba turudiane. Mie nikamwambia mbona umeoa? Akajibu nilioa kwa kuwa rafiki na ndugu walisema kwamba mwanamke akitoka nje ya nchi sio wa kumsubiria, eti anaweza kusubiri halafu mie nikamtosa. Nikamwambia usicheze na ndoa ilimradi ulioa we endelea na ndoa yako na tubaki marafiki tu.


pole sana pretty huyo alikuwa na tamaa na anaonyesha sio mwaminifu
 
kurestart na yeye exbf au na mwingine? Kama ni yeye alinitoa sana out kipindi nipo single,anamuacha mkewe home na kutoka nami. Ikafika kipindi nikaona hizi out zitakuja kuleta shida, hivyo nikampiga marufuku. Nikamwambia kama unataka out toka na mkeo.

welidani pretty
 
Ungekubali uwe nyumba ndogo hujui nyumba ndogo zipo juu sana kuliko nyumba kubwa?

I know nyumba ndogo zinajaliwa sana kuliko kubwa, imani yangu hairuhusu mitala na vile vile nina kinyaa sana siwezi share kile kitu. Nataka cha kwangu tu niwe nakimiliki mwenyewe.
 
nimewahi kupenda sana dada mmoja aliyekuwa amenizidi umri tatizo lilikuwa ndugu zangu walinisikia bango na kuweza kunishawishi mpaka nikamwacha yule dada tena bila hata kumuaga nikahamishwa mkoa na waliweza kunishawishi mpaka mapenzi yakaisha tatizo lilikuja pale yule dada alipokwenda kunishtaki kanisani eti nimemtosa na tulikuwa tumeahidiana kuoana nikaitwa kwenye kikao kanisa aliyenisaidi ni mzee wa kanisa ambaye aliwaambia wazee wenzake wa kanisa kwamba hiyo kesi haina mantiki kwani kwani kanisa haliwezi kusuluhisa kesi ya watu ambao walifikiri wengkuja kuishi pamoja na mmoja wao akaonelea kwamba haiwezekani maana yule dada alikuwa nalazimi eti kanisa linishauri nimwoe maana tulitoka mbali sana, rafiki yangu mmoja akanifwata baadae na kuniambia eti yele dada amemtuma aje kunchungza ni kwanini niliamua kuachana naye ilikuwa ni kashikashi maana ilifikia mahali ninapoenda watu wananiuliza ilikuwa kuhusu wewe na f mbona tumesikia kakustaki kanisani yaani nafikiri aliamua kusambaza ili kuniharibia akifikiri kuwa itakuwa ni njia ambayo itawanya wakidada wengine kuniona kama mtu nisiyefaa ni ishu iliyochukua muda mrefu sna ili baada ya kukaa kwenye nje ya huop mkoa kwa muda hali ilibadili ila kwasasa ni shemegi yangu maana mdogo wake kaolewa na kaka yangu na mawasiliano yetu kwasasa si zaidi ya salamu ambaoyo wakati mwingine inatubidi tu tusalimiane kwa lazima maana tumekuwa tukikutana kwenye vikao vilivyosababiswa na kaka yangu mimi sina kinyoongo naye ila kwa huyu dada inaonekanza dhahiri kuwa akiniona hawi na furaha ni kama bado anakinyo kikali sana
 
kurestart na yeye exbf au na mwingine? Kama ni yeye alinitoa sana out kipindi nipo single,anamuacha mkewe home na kutoka nami. Ikafika kipindi nikaona hizi out zitakuja kuleta shida, hivyo nikampiga marufuku. Nikamwambia kama unataka out toka na mkeo.
so,
you are not available,are you?
 
harafu hawa watu wanaojifanya wapole wakimya nawaogopa kweli kweli
 
nimewahi kupenda sana dada mmoja aliyekuwa amenizidi umri tatizo lilikuwa ndugu zangu walinisikia bango na kuweza kunishawishi mpaka nikamwacha yule dada tena bila hata kumuaga nikahamishwa mkoa na waliweza kunishawishi mpaka mapenzi yakaisha tatizo lilikuja pale yule dada alipokwenda kunishtaki kanisani eti nimemtosa na tulikuwa tumeahidiana kuoana nikaitwa kwenye kikao kanisa aliyenisaidi ni mzee wa kanisa ambaye aliwaambia wazee wenzake wa kanisa kwamba hiyo kesi haina mantiki kwani kwani kanisa haliwezi kusuluhisa kesi ya watu ambao walifikiri wengkuja kuishi pamoja na mmoja wao akaonelea kwamba haiwezekani maana yule dada alikuwa nalazimi eti kanisa linishauri nimwoe maana tulitoka mbali sana, rafiki yangu mmoja akanifwata baadae na kuniambia eti yele dada amemtuma aje kunchungza ni kwanini niliamua kuachana naye ilikuwa ni kashikashi maana ilifikia mahali ninapoenda watu wananiuliza ilikuwa kuhusu wewe na f mbona tumesikia kakustaki kanisani yaani nafikiri aliamua kusambaza ili kuniharibia akifikiri kuwa itakuwa ni njia ambayo itawanya wakidada wengine kuniona kama mtu nisiyefaa ni ishu iliyochukua muda mrefu sna ili baada ya kukaa kwenye nje ya huop mkoa kwa muda hali ilibadili ila kwasasa ni shemegi yangu maana mdogo wake kaolewa na kaka yangu na mawasiliano yetu kwasasa si zaidi ya salamu ambaoyo wakati mwingine inatubidi tu tusalimiane kwa lazima maana tumekuwa tukikutana kwenye vikao vilivyosababiswa na kaka yangu mimi sina kinyoongo naye ila kwa huyu dada inaonekanza dhahiri kuwa akiniona hawi na furaha ni kama bado anakinyo kikali sana
duh!nimesoma hadi nimeanza kusinzia!
pole sana kwa vyovyote!LAZIMA ULIUMIZWA TU
 
mi mam sapu alikuwa ananiambia ohoo nakupenda hakuna mfano! nikaenda mahali kikazi mwezi mmoja tu kurudi ni 'mjamzito', kuuliza nani anayewajibika na ujauzito huo nikapewa jibu 'asiye kuwepo na lake halipo'

Journal Pape huyo mwanamama alikuwa jeuri utadhani afande ...pole sana
hakuwa akimaanisha hiyo nakupenda sana kumbe ukitoka anasema afadhari umeondoka akajivinjari
dunia ina mambo
 
pole sana pretty huyo alikuwa na tamaa na anaonyesha sio mwaminifu

Geoff na FL nimeshapoa jamani, namshukuru Mungu nimepata mwingine. Tena jamani Mungu wa ajabu, muda mwingine Mungu anaweza kukuepusha na kitu. Exb wangu alikuwa mtu anayependa starehe sana na mnywaji sana.

ILa sasa hivi nimepata mchumba wala hatumii kilevi chochote yeye ni juice tu, sasa mie ndio naonja kidogo. Hadi najiona mie wala sikustahili kuwa naye ila ndio hivyo ni mipango ya Mungu.
 
Geoff na FL nimeshapoa jamani, namshukuru Mungu nimepata mwingine. Tena jamani Mungu wa ajabu, muda mwingine Mungu anaweza kukuepusha na kitu. Exb wangu alikuwa mtu anayependa starehe sana na mnywaji sana.

ILa sasa hivi nimepata mchumba wala hatumii kilevi chochote yeye ni juice tu, sasa mie ndio naonja kidogo. Hadi najiona mie wala sikustahili kuwa naye ila ndio hivyo ni mipango ya Mungu.
mimi nilimwomba sana mungu nimpate wa taipu yako!hasa kwenye kipengele kilichoboldiwa!
vipi una mdogo wako wa kike?
 
Wewe unawapenda watata, wagomvi wazee wa shari shari

kuna wengine wanajidai wakimya kama kobe kumbe wanatunga sheria

unakuta anawaza haka kademu sijui nikapige kibuti? sijui nikakasaliti ,mala parfomance yake iko low ngoja nitafute small house
khah!
 
Geoff na FL nimeshapoa jamani, namshukuru Mungu nimepata mwingine. Tena jamani Mungu wa ajabu, muda mwingine Mungu anaweza kukuepusha na kitu. Exb wangu alikuwa mtu anayependa starehe sana na mnywaji sana.

ILa sasa hivi nimepata mchumba wala hatumii kilevi chochote yeye ni juice tu, sasa mie ndio naonja kidogo. Hadi najiona mie wala sikustahili kuwa naye ila ndio hivyo ni mipango ya Mungu.

Mfundishe anywe japo ka-brandy nusu, vinginevyo utaboreka au ukikutana anayestua kilaji inaweza kuwa hadithi ingine. Pia nawaza ukirudi nyumbani una harufu ya kilaji na mwenzio haonji unategemea nini?
 
kuna wengine wanajidai wakimya kama kobe kumbe wanatunga sheria

unakuta anawaza haka kademu sijui nikapige kibuti? sijui nikakasaliti ,mala parfomance yake iko low ngoja nitafute small house
khah!
hehehe!
mimi pia nakushauri hawa wa-kimya achana nao!ugomvi wao ni mkubwa sana akikasirika.anakuwa na malimbikizo ya hasira zote za makosa aliyokaa kimya
 
Back
Top Bottom