FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Si Vibaya tukashea exprience Nikianza na mie mwenyewe FL1 msiniulize ilikuwaje ?
It was sad And bad times to me Ni pale nilipovishwa engagement ring na jamaa kumbe alishaoa long time ago na ana watoto
eeh!
...something i didn't expect!lol.Geoff nimecheka mpaka machozi yamenitoka mbona umeshangaa ??
haya mambo yapo hasa nyie mnaoacha wake zenu migombani ama vijijini hahahah
kha!pale bfrnd aliponiacha bila mie kujua sababu, yaani cjui kisa/sababu hadi leo! halafu jana nimekutana nalo supermarket.........
pale bfrnd aliponiacha bila mie kujua sababu, yaani cjui kisa/sababu hadi leo! halafu jana nimekutana nalo supermarket.........
..........KHA!Mi nilipo kubaliana na mwenzangu kuwa tutaoana nimekusanya wazee mjomba tukaonekane kwao mchumba wangu akanitosa mbele ya wazazi wake nikagaili kuoa sasa nataka nijaribu 2012
kha!
mwe mwe mwe!
Mi nilipo kubaliana na mwenzangu kuwa tutaoana nimekusanya wazee mjomba tukaonekane kwao mchumba wangu akanitosa mbele ya wazazi wake nikagaili kuoa sasa nataka nijaribu 2012
ndio baby, kuna cku alinitafuta eti tuweke mambo sawa anajutia kosa na aniambie ni kwanini ilitokea vile, nikamwambia umechelewa sana...kweli cjui tatizo mpaka leo.
vipi,
kitandani ulikuwa vizuri baibe?!?!
Wanaume hawa jamani yaani nyie acheni tu. Nilikuwa na ex bf wangu tulipendana kweli, ikafika kipindi nikaenda kusoma nje ya nchi. Mara ya kwanza mawasiliano yalikuwa mazuri baada ya muda mwenzangu akaaza lawama, mara oh we umeenda huko najua utanipiga kibuti tu. Usipotuma sms siku moja mwenzangu anapata sababu, ohh hujatuma sms ushaamua kuniacha.
Ikafika kipindi akaacha kabisa mawasiliano, na mie nikaona isiwe shida nami nikachuna.
Mungu jalia nikamaliza masomo na kurudi home, baada ya kurudi tukaonana na kipindi hicho kumbe tayari alikuwa kaoa.
Tulivyoonana tu, mara tena akaanza kuleta za kuleta. Ohh unajua nisamehe mie bado nakupenda, naomba turudiane. Mie nikamwambia mbona umeoa? Akajibu nilioa kwa kuwa rafiki na ndugu walisema kwamba mwanamke akitoka nje ya nchi sio wa kumsubiria, eti anaweza kusubiri halafu mie nikamtosa. Nikamwambia usicheze na ndoa ilimradi ulioa we endelea na ndoa yako na tubaki marafiki tu.
Mh!wewe dada yani acha tu!kwenye malavidavi kuna MICHARUKO!mimi niliwahi kumpenda binti mmoja KI-MCHARUKO!hivi unajua kupenda ki-mcharuko?geoff hebu acha kushangaa hebu tupe mkasa wowote hata kama uliwahi kumpa mimba denti ukamtosa thema tu
hahahahah hehehe binamu yake Xpin pole na maswahiba kwa hiyo unaona wanawake wote ni taperi??
Mh!wewe dada yani acha tu!kwenye malavidavi kuna MICHARUKO!mimi niliwahi kumpenda binti mmoja KI-MCHARUKO!hivi unajua kupenda ki-mcharuko?
gharama zake ni kubwa sana mazee!