miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
kwa kipindi cha muda mfupi watu wamepigwa mizinga,wengine kusalitiwa
Bahati mbaya sana wa kwangu hata kuishika tu simu yake inahitaji msaada wa UN Army maana ni vita ya tatu ya dunia .INGIA HAPA FUATA MAELEZO Mobile Tracker Free | Cell Phone Tracker App | Monitoring App for Android Smartphone
Really?Nina miaka 40 sina mchumba wala mke and within my loneness i found happiness!!
Sasa huyo amekuoa au umemuoa?Bahati mbaya sana wa kwangu hata kuishika tu simu yake inahitaji msaada wa UN Army maana ni vita ya tatu ya dunia .
Bado ni girlfriend tu mkuu lakini kwa hali hio sioni kama naweza kumuweka kwenye mipango.Sasa huyo amekuoa au umemuoa?
nimecheka sanaaaaaBahati mbaya sana wa kwangu hata kuishika tu simu yake inahitaji msaada wa UN Army maana ni vita ya tatu ya dunia .
hatari sana yani.nimecheka sanaaaaa
hahaaa ambao hawanyi wanamsingizia shetani amewapitia.lazima kutakuwa na sababu, msaliti asemehewi!Itakuwa huyo baba K ndio huyuView attachment 810491
hahaaaa, vipi lkn simu ya kwako huwa anaishika au ndyo mmezoeshana kutoshika simu ya mwenzako?, eti mpk UN army duhBahati mbaya sana wa kwangu hata kuishika tu simu yake inahitaji msaada wa UN Army maana ni vita ya tatu ya dunia .
Haswaa. No games no lies. Akizingua na ushahidi uko bayana. Basi ni red card.Kisaikolojia nipo vizuri sana kwa kusoma mambo yanayowakuta wadau. wife akianza kuchepuka mapema sana anarud kwao hakuna msalia mtume.
Hahaha vip man? Uliyagundua madudu yake?Hahahaha hii imeniachanisha na manzi angu aliyekua anajifanya ananipenda kuliko maelezo
Jamani, HAKIKISHENI UNAPOFIKIA HATUA YA UCHUNGUZI, JUA UWE UMEAMUA KUACHANA NA UNATAFUTA SABABU ZA MSINGI... kama mtu bado unampenda achana na kuchunguza... AFTERALL makosa utakayoyakuta HATA WEWE YATAKUUMIZA TENA HASWA...
Kuchapiwa ni siri ya ndani, nyie mnaiweka hadharani... HALAFU UTAKUTA WANAOLALAMIKA KWA NGUVU ZOTE NDO WACHAPAJI WAKUBWA WA WAKE ZA WATU.....
Nope akifanya hivyo huyo dada atamuona boya. So kilichobaki ni amuonyeshe madudu yake na maovu yake then walk away.Pole sana mkuu Gazeti and you're so strong kwakweli ,ila huyo mdada mmh mpk michepuko 6, labda mngejaribu kukaa muongee umuambie uchafu wake anaoufanya unafahamu na ikibidi shirikisheni wazazi, anaweza kujirekebishwa akawa mtu mwema kbs na maisha yakaendelea.
Tabia ya mtu ni kama ngozi, yaani haibadiliki.Pole sana mkuu Gazeti and you're so strong kwakweli ,ila huyo mdada mmh mpk michepuko 6, labda mngejaribu kukaa muongee umuambie uchafu wake anaoufanya unafahamu na ikibidi shirikisheni wazazi, anaweza kujirekebishwa akawa mtu mwema kbs na maisha yakaendelea.
ha haha haha ..pole sana mkuu..kugongewa soon ukijua lazima ukaukiwe mate kinywani aisee..Ila acha tu.hadi sasa nikikumbuka yaliyonikuta mi roho hupasuka paaaa!
Hii mambo skia kwingine tu.kugongewa inauma sana asee
ha hahaaa ..hiyo Kali mamaeeItakuwa huyo baba K ndio huyuView attachment 810491