Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,965
Mtu na kaka yake(wanashare baba) wanaishi nyumba moja wamemimbana, wazazi hawaamini majicho yao kwa lililotokea.
Wazazi tumejisahau sana ktk suala zima la malezi, tunajuabkulea ni kulisha,kuvisha,kusomesha na kuwapa malazi. Kumbe kuna mambo ya msingi sana tumeyapuuza. Turudi tuwe wazazi, hii ni kwa kila mmoja wetu iwe una mtoto au hauna, mtoto wa mwenzio umchukulie kama wako.
Wazazi tumejisahau sana ktk suala zima la malezi, tunajuabkulea ni kulisha,kuvisha,kusomesha na kuwapa malazi. Kumbe kuna mambo ya msingi sana tumeyapuuza. Turudi tuwe wazazi, hii ni kwa kila mmoja wetu iwe una mtoto au hauna, mtoto wa mwenzio umchukulie kama wako.