Umewahi kufikiri kuhusu usalama wa watoto wako kijinsia?

Ulilo lisema ni jambo la muhimu na msingi sana Mkuu,katika kuwaelimisha hapo wazazi wasione hayan kuwaeleza watoto juu ya maeneo yao sehemu zaa siri, na ni kwanini hawatakiwi kuguswa wala kupigwa picha(imekuwa mtindo mpya sasa) na watu wengine hata kama ni mtu wa karibu, tujaribu kuwaelekeza kwa juhudi na maarifa kwelikweli ma tuwaelekezavyo shughuli za nyumbani kama kuosha vyombo na kupika.
Wazazi wamekuwa waoga kuongea na watoto wao kuhusu ukuaji wao!
 
Wazazi wamekuwa waoga kuongea na watoto wao kuhusu ukuaji wao!


Hii pia imekuwa changamoto kubwa kila kitu wazazi wanategemea watoto watajifunza kutoka shuleni au sehemu za ibada pasi nakujua kuwa nao pia ndo muhimili haswa wa makuzi ya watoto wao. WAZAZI TUACHE UVIVU KABISA JUU YA HILI LA MALEZI YA WATOTO.
 
Hii pia imekuwa changamoto kubwa kila kitu wazazi wanategemea watoto watajifunza kutoka shuleni au sehemu za ibada pasi nakujua kuwa nao pia ndo muhimili haswa wa makuzi ya watoto wao. WAZAZI TUACHE UVIVU KABISA JUU YA HILI LA MALEZI YA WATOTO.
Mabadiliko yanaanza na wewe!
Kila mzazi asimamie nafasi yake, hakuna kitakachoshindikana!
 
Ni kumuomba tu Mungu na kuplay part yenu Kama wazazi kuhakikisha watoto wenu wanaenenda katika mienendo mizuri

Kuwa makini ktk kila Hatua ya ukuaji wao,,, kujenga mazingira mazuri kwa watoto,,umakini,kupata muda wa kukaa na kuongea na watoto wenu ...
Zaid Sana kuomba neema ya Mungu,,km ilivyofunuliwa kwetu wazazi Basi ikawe hivyo kwa watoto pis

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Wa kazi amenifanyisha sana matusi nilipokuwa shula ya msingi .... Kaninyonyesha sana matiti.... Mama alikuja kuniona nna uchafu uchafu ndio kwenda hospital kumbe kisonono....
 
Dada Wa kazi amenifanyisha sana matusi nilipokuwa shula ya msingi .... Kaninyonyesha sana matiti.... Mama alikuja kuniona nna uchafu uchafu ndio kwenda hospital kumbe kisonono....
Dah!!.
Na huu ndio ukweli wa kuogofya kabisa!
 
Mtoto anavunja ungo mama anaogopa kunfundisha kuvaa pedi!!

Sasa NAJIULIZA Kama pedi TUNASHINDWA kuwaelekeza!
KKuna mahali tutaweza KUWAAMBIA Ukimwi unaambukizwaje?
K
Wazazi wafike mahali watambue majukumu na wajibu wao kwa watoto, yaani ni hilo tuu wala hakuna lingine!
 
Wazazi tujenge tabia ya kuongea na watoto wetu kwa upendo kabisaaa!
Tuwe tunawaelimisha madhara ya hiyo michezo ambayo wanaianza wakiwa na umri mdogo!

Tuhakikishe tunawapatia huduma muhimu na kwa wakati ili kupunguza vishawishi!

Lakini zaidi ya yote tuwaombee watoto wetu kila iitwapo leo! Hakuna linalomshinda Mungu jamani, tuwafiche kwenye mbawa za Malaika wa Mungu! Na kuhakikisha mtoto anakuwa katika hofu ya Mungu!

Hapa ukiuliza utagundua kuna mzazi hana muda wa kumwambia Mungu amlinde mwanae! Jitolee hata siku moja funga sababu ya watoto wako, toa sadaka mshukuru Mungu wako hakika na Mungu atawasimamia kila iitwapo leo!
Busara zako zinazidi kunishangaza kila siku!

Umeongea jambo la maana sana Sakayo!Unapokua karibu na mwanao na kuweza kuzungumza naye yale yanayoathiri maisha yao kwa ujumla naamini atakua katika njia ambayo ni salama!
 
Busara zako zinazidi kunishangaza kila siku!

Umeongea jambo la maana sana Sakayo!Unapokua karibu na mwanao na kuweza kuzungumza naye yale yanayoathiri maisha yao kwa ujumla naamini atakua katika njia ambayo ni salama!
Hakuna jambo zuri kama kumfanya mtoto kuwa rafiki yako wa kwanza!
Atakapoona ama kuhisi kitu cha tofauti mtu wa kwanza kumwambia ni wewe kama rafiki, halafu baadae ndo una play part yako kama mzazi!
 
Hakuna jambo zuri kama kumfanya mtoto kuwa rafiki yako wa kwanza!
Atakapoona ama kuhisi kitu cha tofauti mtu wa kwanza kumwambia ni wewe kama rafiki, halafu baadae ndo una play part yako kama mzazi!
Yes!upo sahihi kabisa

Mi nina mtoto wa kike,bahati nzuri namlea peke yangu,huwa najaribu kuzungumza naye kila mara na kumuelekeza hili zuri hili baya,na nimeshashuhudia mara nyingi hata akiwa anacheza na wenzake kama kuna jambo siyo zuri na nilishawahi kuzungumza naye labda,huwa anawaambia wenzake kabisa baba kanikataza hapendi na huwa ananieleza pia!

Inasaidia sana kuwaongoza watoto katika njia ambayo ni nzuri!
 
Yes!upo sahihi kabisa

Mi nina mtoto wa kike,bahati nzuri namlea peke yangu,huwa najaribu kuzungumza naye kila mara na kumuelekeza hili zuri hili baya,na nimeshashuhudia mara nyingi hata akiwa anacheza na wenzake kama kuna jambo siyo zuri na nilishawahi kuzungumza naye labda,huwa anawaambia wenzake kabisa baba kanikataza hapendi na huwa ananieleza pia!

Inasaidia sana kuwaongoza watoto katika njia ambayo ni nzuri!
Hongera sana!
Wazazi wengi saaana wanasahau rafiki namba moja ni mtoto!
Watoto wanapenda sana kupendwa na kusikilizwa!
Hata wale wanaowarubuni ni sababu tuu hujenga urafiki na wao halafu wanatake advantage ya wale watoto!
 
Hongera sana!
Wazazi wengi saaana wanasahau rafiki namba moja ni mtoto!
Watoto wanapenda sana kupendwa na kusikilizwa!
Hata wale wanaowarubuni ni sababu tuu hujenga urafiki na wao halafu wanatake advantage ya wale watoto!
Nashukuru sana!

Wewe pia ni mzazi?
 
Back
Top Bottom