snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
- Thread starter
- #41
Binadamu tuna aina tofauti ya kukabili matukio yasiyopendeza machoni, akilini au mioyoni!Inasikitisha sana kijana mtu mzima ana afya ya akili kuandika upumbavu wa kiwango hiki, unless aseme ana matatizo ya afya...
pengine ndiyo namna yao ya kukinzana na hiki kilichoandikwa!