Umewahi kuaibika kwa jambo lisilo lako? tukutane hapa tafadhali tujuzane na kuliwazana!!

NIMEONA

JF-Expert Member
Aug 4, 2019
3,865
5,683
tunakumbana na misukosuko ya hapa na pale, mojawapo ni kupatwa na aibu mbele za watu, tena isiyo yako. ngoja nishee nanyi kisa kimoja cha aibu nisiyoitarajia katika vingi kiasi vilivyowahi kunikuta. Samahani kuna maneno ya ukakasi kidogo!

imenitokea juzi mkoani Lindi. nilikuwa katika guest moja hivi inaitwa south honour. baada ya kupewa tu chumba nikakimbilia uani sababu nilikuwa nimebanwa na haja ndogo ile mbaya. kufika nakuta choo cha sinki kimechafuliwa vibaya, kuna kimba moja na nusu limegoma kwenda na maji. nikaona sio kesi si nitalisukuma tu na maji nikimaliza kujisaidia hiyo haja ndogo! ebwana yalinikuta.

kila nikimwagia maji yanaenda yenyewe tu hakuna zaidi. ndoo kama tatu ziliisha. nikashindwa, nikizingatia kuwa sikuharibu mimi nikaamua kutoka zangu. nje nakutana uso kwa uso na dada mhudumu akiwa amejianda kuanza usafi vyooni maana ilikuwa asubuhi sana. nikaendelea na hamsini zangu.

Ile nafunga mlango wa chumba ili niwahi kutoka kuwahi appointment fulani, naisikia sauti ya yule dada (mwenye uonekano wa kimcharuko kwelikweli) akinijia kwa kasi huku akifoka, ''we kaka huu ustaarabu gani, mambo gani haya ya aibu unatufanyia? likinyesi lako uliloliacha pale akalisafishe nani? kwa hela gani unayolipa hadi utufanyie mambo ya kinyaa namna hii?''. alimwaga sumu nyingi yule dada balaa, watu wote walijua kinachoendelea. kutokana na mazingira nilishindwa kabisa kueleweka na hivyo ikanibidi niondoke na aibu yangu tu. hivyo ndivyo nilivyoaibika kizembe kwa kosa lisilo langu.

karibuni!
 
MIMI AIBU ILIKUWA YANGU

Nakumbuka ilikuwa kati ya 2005-2007 hv..niliagizwa K/koo na Bi mkubwa (sikumbuki niliagizwa nini)

Sasa baada ya kununua hicho kitu nikabakiwa na chenji kadhaa nikaamua ninunue vitafunwa vinavyouzwaga barabarani vile..baada ya kumaliza nikapanda gari kurudi

Dakika kama 10 hivi tangia nipande gari,nilishikwa na TUMBO la kuendesha c la dunia hii...kila nikijibana wapi...kila nikijigeuza wapi..nilishusha baadhi ya vitu mlemle ndani ya gari(bahati nzuri nilivaa jinsi)

Kufika kituoni(kulikuwa hakuna bodaboda kipindi hiko) nilizamia KOTA ZA POLISI ambazo zipo karibu na hicho kituo bila uwoga wowote ule....nilishusha mzgo wa haja...nilitumia zaidi ya dk 15 nipo tu chooni(bahati nzuri choo kilikuwa cha shimo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mi nakumbuka ilikuwa 2015 nikiwa mkoani Mwanza wilayani Kwimba nilienda kumsalimia Sista na Mama yangu pia alikuwa huko,niliishi almost mwaka mzima,sasa kuna demu mmoja alikuwa mkali kinoma na kiukweli mtaani ilikuwa ni tishio,nilipofika hapo kuna wana walikuwa wakiniambia kuna jamaa alikuwa Askari aliwahi kujiua kwa kukataliwa na huyo mtoto mzuri,one day nikiwa kwenye mizunguko yangu nilipita maeneo ya kwao nikakuta akiosha vyombo huku akiwa kainama kiuno kikiwa juu,kiukweli sijui niseme nini lakini huyo askari alikuwa halali kujiua,nilipo muona nilisisimkwa mwili na nkapiga moyo konde nkaendelea na safari yangu!!,kwa upande wangu huwa ni mtulivu sana na huwa sipendi sana purukushani so kumbe hata yule mtoto alikuwa akinielewa sana sema alikuwa haonyeshi maana ingeonekana anajishusha,kiukweli yule binti alikuwa mzuri mpaka nilikuwa nkikutana naye kwa kumuogopa nabadilisha njia!!,kwa namna nilivyokuwa muoga na najiheshimu mama yangu hakuwahi kutegemea kama naweza kuwa na rafiki wa kike maana aliniamini sana.

Siku moja nakumbuka nilijitoa ufahamu na nkasema liwalo na liwe,kiukweli sikuamini kama naweza kukubaliwa kuongea na yule mtoto mzuri,na nilipomuomba kuongea nae alifurahi kupita kiasi maana alinitamkia laivu bila chenga kwamba nisinge muwahi yeye basi angekuja maskani maana alinipenda sana the way nilivyokuwa mpole na mtulivu kuliko vijana wengine wa mtaani,sasa sikutaka mama afahamu chochote maana ningegombezwa mpaka basi!,nakumbuka siku moja tulikubaliana nkamchukue kwao ambapo mama yake atakuwa shifti kazini(mama yake alikuwa nesi),so siku ikafika na nkasubiri mpaka saa tano usiku nkaamka nkafungua mlango taraaaatibu na sikuvaa viatu maana nilihofia mama angenisikia maana mama yangu alikuwaga ni mgumu sana kupata usingizi labda nowdays,siunajua tena utu uzima!,ilinibidi ninyate peku peku nkaenda nkafungua geti,kumbe mama ananichora tu dirishani huku kapiga kimya!!,mwanaume nkaibuka mpaka kwa mtoto mzuri nkamchukua kumleta home,sasa ile naingia tu ndani na kufunga geti taratibu kiasi kwamba hata sisimizi isingekuwa rahisi kusikia,kumbe bi mkubwa ananichora tu,ile nimefika katikati ya nyumba nkiwa nanyata na mtoto mzuri bi mkubwa aliwasha taa zote za nje,kiukweli sikuhiyo nilitamani ardhi ipasuke inimeze maana bi mkubwa kati ya watoto aliyokuwa akiwapenda na akiwaamini basi ni mimi,na alikuwa akinitolea mfano kwa mabro na masista wajifunze kwangu but siku hiyo niliahibika kisenge,swali la kwanza ni "UMETOKA WAPI WE MSHENZI",yaani nyumba nzima waliamka kuja kushuhudia nilivyo ganda kama nimemwagiwa maji ya barafu,kiukweli niliona ahibu sana na mtoto wa watu akaanza kulia maana mama alimtukana sana na bi mkubwa alikuwa mkali sana na aliogopwa sana na mabinti na vijana mtaani!!,ila namshukuru MUNGU yule mtoto baadae ndo akaja kupendwa na bi mkubwa hivyo ndo natarajia kumuoa soon wakuu!!,kiukweli ni kati ya story ambazo huwa nkikumbuka nacheka sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mi nakumbuka ilikuwa 2015 nikiwa mkoani Mwanza wilayani Kwimba nilienda kumsalimia Sista na Mama yangu pia alikuwa huko,niliishi almost mwaka mzima,sasa kuna demu mmoja alikuwa mkali kinoma na kiukweli mtaani ilikuwa ni tishio,nilipofika hapo kuna wana walikuwa wakiniambia kuna jamaa alikuwa Askari aliwahi kujiua kwa kukataliwa na huyo mtoto mzuri,one day nikiwa kwenye mizunguko yangu nilipita maeneo ya kwao nikakuta akiosha vyombo huku akiwa kainama kiuno kikiwa juu,kiukweli sijui niseme nini lakini huyo askari alikuwa halali kujiua,nilipo muona nilisisimkwa mwili na nkapiga moyo konde nkaendelea na safari yangu!!,kwa upande wangu huwa ni mtulivu sana na huwa sipendi sana purukushani so kumbe hata yule mtoto alikuwa akinielewa sana sema alikuwa haonyeshi maana ingeonekana anajishusha,kiukweli yule binti alikuwa mzuri mpaka nilikuwa nkikutana naye kwa kumuogopa nabadilisha njia!!,kwa namna nilivyokuwa muoga na najiheshimu mama yangu hakuwahi kutegemea kama naweza kuwa na rafiki wa kike maana aliniamini sana.

Siku moja nakumbuka nilijitoa ufahamu na nkasema liwalo na liwe,kiukweli sikuamini kama naweza kukubaliwa kuongea na yule mtoto mzuri,na nilipomuomba kuongea nae alifurahi kupita kiasi maana alinitamkia laivu bila chenga kwamba nisinge muwahi yeye basi angekuja maskani maana alinipenda sana the way nilivyokuwa mpole na mtulivu kuliko vijana wengine wa mtaani,sasa sikutaka mama afahamu chochote maana ningegombezwa mpaka basi!,nakumbuka siku moja tulikubaliana nkamchukue kwao ambapo mama yake atakuwa shifti kazini(mama yake alikuwa nesi),so siku ikafika na nkasubiri mpaka saa tano usiku nkaamka nkafungua mlango taraaaatibu na sikuvaa viatu maana nilihofia mama angenisikia maana mama yangu alikuwaga ni mgumu sana kupata usingizi labda nowdays,siunajua tena utu uzima!,ilinibidi ninyate peku peku nkaenda nkafungua geti,kumbe mama ananichora tu dirishani huku kapiga kimya!!,mwanaume nkaibuka mpaka kwa mtoto mzuri nkamchukua kumleta home,sasa ile naingia tu ndani na kufunga geti taratibu kiasi kwamba hata sisimizi isingekuwa rahisi kusikia,kumbe bi mkubwa ananichora tu,ile nimefika katikati ya nyumba nkiwa nanyata na mtoto mzuri bi mkubwa aliwasha taa zote za nje,kiukweli sikuhiyo nilitamani ardhi ipasuke inimeze maana bi mkubwa kati ya watoto aliyokuwa akiwapenda na akiwaamini basi ni mimi,na alikuwa akinitolea mfano kwa mabro na masista wajifunze kwangu but siku hiyo niliahibika kisenge,swali la kwanza ni "UMETOKA WAPI WE MSHENZI",yaani nyumba nzima waliamka kuja kushuhudia nilivyo ganda kama nimemwagiwa maji ya barafu,kiukweli niliona ahibu sana na mtoto wa watu akaanza kulia maana mama alimtukana sana na bi mkubwa alikuwa mkali sana na aliogopwa sana na mabinti na vijana mtaani!!,ila namshukuru MUNGU yule mtoto baadae ndo akaja kupendwa na bi mkubwa hivyo ndo natarajia kumuoa soon wakuu!!,kiukweli ni kati ya story ambazo huwa nkikumbuka nacheka sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
dah, ilikuwa noma sana hiyo......lakini kwa akili za mama zetu (ninavyosikia) atakuwa alifurahi kimya kimya kuwa mwanawe ni mzima
 
''we kaka huu ustaarabu gani, mambo gani haya ya aibu unatufanyia? likinyesi lako uliloliacha pale akalisafishe nani? kwa hela gani unayolipa hadi utufanyie mambo ya kinyaa namna hii?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣kikikikikikikikik sina mbavu
 
Aisee mi nakumbuka ilikuwa 2015 nikiwa mkoani Mwanza wilayani Kwimba nilienda kumsalimia Sista na Mama yangu pia alikuwa huko,niliishi almost mwaka mzima,sasa kuna demu mmoja alikuwa mkali kinoma na kiukweli mtaani ilikuwa ni tishio,nilipofika hapo kuna wana walikuwa wakiniambia kuna jamaa alikuwa Askari aliwahi kujiua kwa kukataliwa na huyo mtoto mzuri,one day nikiwa kwenye mizunguko yangu nilipita maeneo ya kwao nikakuta akiosha vyombo huku akiwa kainama kiuno kikiwa juu,kiukweli sijui niseme nini lakini huyo askari alikuwa halali kujiua,nilipo muona nilisisimkwa mwili na nkapiga moyo konde nkaendelea na safari yangu!!,kwa upande wangu huwa ni mtulivu sana na huwa sipendi sana purukushani so kumbe hata yule mtoto alikuwa akinielewa sana sema alikuwa haonyeshi maana ingeonekana anajishusha,kiukweli yule binti alikuwa mzuri mpaka nilikuwa nkikutana naye kwa kumuogopa nabadilisha njia!!,kwa namna nilivyokuwa muoga na najiheshimu mama yangu hakuwahi kutegemea kama naweza kuwa na rafiki wa kike maana aliniamini sana.

Siku moja nakumbuka nilijitoa ufahamu na nkasema liwalo na liwe,kiukweli sikuamini kama naweza kukubaliwa kuongea na yule mtoto mzuri,na nilipomuomba kuongea nae alifurahi kupita kiasi maana alinitamkia laivu bila chenga kwamba nisinge muwahi yeye basi angekuja maskani maana alinipenda sana the way nilivyokuwa mpole na mtulivu kuliko vijana wengine wa mtaani,sasa sikutaka mama afahamu chochote maana ningegombezwa mpaka basi!,nakumbuka siku moja tulikubaliana nkamchukue kwao ambapo mama yake atakuwa shifti kazini(mama yake alikuwa nesi),so siku ikafika na nkasubiri mpaka saa tano usiku nkaamka nkafungua mlango taraaaatibu na sikuvaa viatu maana nilihofia mama angenisikia maana mama yangu alikuwaga ni mgumu sana kupata usingizi labda nowdays,siunajua tena utu uzima!,ilinibidi ninyate peku peku nkaenda nkafungua geti,kumbe mama ananichora tu dirishani huku kapiga kimya!!,mwanaume nkaibuka mpaka kwa mtoto mzuri nkamchukua kumleta home,sasa ile naingia tu ndani na kufunga geti taratibu kiasi kwamba hata sisimizi isingekuwa rahisi kusikia,kumbe bi mkubwa ananichora tu,ile nimefika katikati ya nyumba nkiwa nanyata na mtoto mzuri bi mkubwa aliwasha taa zote za nje,kiukweli sikuhiyo nilitamani ardhi ipasuke inimeze maana bi mkubwa kati ya watoto aliyokuwa akiwapenda na akiwaamini basi ni mimi,na alikuwa akinitolea mfano kwa mabro na masista wajifunze kwangu but siku hiyo niliahibika kisenge,swali la kwanza ni "UMETOKA WAPI WE MSHENZI",yaani nyumba nzima waliamka kuja kushuhudia nilivyo ganda kama nimemwagiwa maji ya barafu,kiukweli niliona ahibu sana na mtoto wa watu akaanza kulia maana mama alimtukana sana na bi mkubwa alikuwa mkali sana na aliogopwa sana na mabinti na vijana mtaani!!,ila namshukuru MUNGU yule mtoto baadae ndo akaja kupendwa na bi mkubwa hivyo ndo natarajia kumuoa soon wakuu!!,kiukweli ni kati ya story ambazo huwa nkikumbuka nacheka sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app

ongeza aya (paragraph) mkuu, utaua macho yetu
 
MIMI AIBU ILIKUWA YANGU

Nakumbuka ilikuwa kati ya 2005-2007 hv..niliagizwa K/koo na Bi mkubwa (sikumbuki niliagizwa nini)

Sasa baada ya kununua hicho kitu nikabakiwa na chenji kadhaa nikaamua ninunue vitafunwa vinavyouzwaga barabarani vile..baada ya kumaliza nikapanda gari kurudi

Dakika kama 10 hivi tangia nipande gari,nilishikwa na TUMBO la kuendesha c la dunia hii...kila nikijibana wapi...kila nikijigeuza wapi..nilishusha baadhi ya vitu mlemle ndani ya gari(bahati nzuri nilivaa jinsi)

Kufika kituoni(kulikuwa hakuna bodaboda kipindi hiko) nilizamia KOTA ZA POLISI ambazo zipo karibu na hicho kituo bila uwoga wowote ule....nilishusha mzgo wa haja...nilitumia zaidi ya dk 15 nipo tu chooni(bahati nzuri choo kilikuwa cha shimo)

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana , Mm ilinitokea 2014 nilikuwa natoka arusha kuja Dar -
Nilisimamisha gari kwangu vu nikaingia polini dk 20 nikarudi .
Alafu nikajikausha .
Siitaji kuikumbuka ile siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
du, bado ulilikuta tu hilo gari na ulipatwa na nn hadi kuamua kufanya hivyo mkuu?!!
 
Aisee mi nakumbuka ilikuwa 2015 nikiwa mkoani Mwanza wilayani Kwimba nilienda kumsalimia Sista na Mama yangu pia alikuwa huko,niliishi almost mwaka mzima,sasa kuna demu mmoja alikuwa mkali kinoma na kiukweli mtaani ilikuwa ni tishio,nilipofika hapo kuna wana walikuwa wakiniambia kuna jamaa alikuwa Askari aliwahi kujiua kwa kukataliwa na huyo mtoto mzuri,one day nikiwa kwenye mizunguko yangu nilipita maeneo ya kwao nikakuta akiosha vyombo huku akiwa kainama kiuno kikiwa juu,kiukweli sijui niseme nini lakini huyo askari alikuwa halali kujiua,nilipo muona nilisisimkwa mwili na nkapiga moyo konde nkaendelea na safari yangu!!,kwa upande wangu huwa ni mtulivu sana na huwa sipendi sana purukushani so kumbe hata yule mtoto alikuwa akinielewa sana sema alikuwa haonyeshi maana ingeonekana anajishusha,kiukweli yule binti alikuwa mzuri mpaka nilikuwa nkikutana naye kwa kumuogopa nabadilisha njia!!,kwa namna nilivyokuwa muoga na najiheshimu mama yangu hakuwahi kutegemea kama naweza kuwa na rafiki wa kike maana aliniamini sana.

Siku moja nakumbuka nilijitoa ufahamu na nkasema liwalo na liwe,kiukweli sikuamini kama naweza kukubaliwa kuongea na yule mtoto mzuri,na nilipomuomba kuongea nae alifurahi kupita kiasi maana alinitamkia laivu bila chenga kwamba nisinge muwahi yeye basi angekuja maskani maana alinipenda sana the way nilivyokuwa mpole na mtulivu kuliko vijana wengine wa mtaani,sasa sikutaka mama afahamu chochote maana ningegombezwa mpaka basi!,nakumbuka siku moja tulikubaliana nkamchukue kwao ambapo mama yake atakuwa shifti kazini(mama yake alikuwa nesi),so siku ikafika na nkasubiri mpaka saa tano usiku nkaamka nkafungua mlango taraaaatibu na sikuvaa viatu maana nilihofia mama angenisikia maana mama yangu alikuwaga ni mgumu sana kupata usingizi labda nowdays,siunajua tena utu uzima!,ilinibidi ninyate peku peku nkaenda nkafungua geti,kumbe mama ananichora tu dirishani huku kapiga kimya!!,mwanaume nkaibuka mpaka kwa mtoto mzuri nkamchukua kumleta home,sasa ile naingia tu ndani na kufunga geti taratibu kiasi kwamba hata sisimizi isingekuwa rahisi kusikia,kumbe bi mkubwa ananichora tu,ile nimefika katikati ya nyumba nkiwa nanyata na mtoto mzuri bi mkubwa aliwasha taa zote za nje,kiukweli sikuhiyo nilitamani ardhi ipasuke inimeze maana bi mkubwa kati ya watoto aliyokuwa akiwapenda na akiwaamini basi ni mimi,na alikuwa akinitolea mfano kwa mabro na masista wajifunze kwangu but siku hiyo niliahibika kisenge,swali la kwanza ni "UMETOKA WAPI WE MSHENZI",yaani nyumba nzima waliamka kuja kushuhudia nilivyo ganda kama nimemwagiwa maji ya barafu,kiukweli niliona ahibu sana na mtoto wa watu akaanza kulia maana mama alimtukana sana na bi mkubwa alikuwa mkali sana na aliogopwa sana na mabinti na vijana mtaani!!,ila namshukuru MUNGU yule mtoto baadae ndo akaja kupendwa na bi mkubwa hivyo ndo natarajia kumuoa soon wakuu!!,kiukweli ni kati ya story ambazo huwa nkikumbuka nacheka sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
umetisha sana bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom