Umewahi fanya tendo la ndoa na watu zaidi ya watatu? Hiki ndicho kinakuotea

Ni kweli lakini hakuna namna.Maana kuna wengine kumpa tendo mume ni changamoto,sasa cha kufia nn mtoto wa watu? Mwache akale kungine apone njaa.We are in the world,so no way out Kamanda
There's a way out badae nitakuja kuendelea
 
Avha utani 30 wachach ? Yani wanaume 30 ni wachach hahaha....kwaiyo namba inasoma vivuli vingapi sema ?
Kuna mwanamke alifanya kaz ya ukahaba kujikimu kimaisha,bahati nzuri au mbaya akadaka mimba akazaa,akaona mtoto atamchelewesha kwenye mambo yake akaamua amtupe.Wasamari wakaokota na kulea.Mtoto alipozaliwa alikuwa alama kubwa nyeusi mgongoni.
Siku zikaenda mama anaendelea na kaz yake, akapata danga la maana lenye pesa zake wamemaliza mambo yao kijana anageuka avae nguo si ndo mama anaona ile alama yaliyokuwa Mayo mwanae aliyetupa,kumuuliza kijana wewe ni nani ulizaliwa wapi ukoo wako,baba ako.Kijana kamjibu mi sina historia ya kuwa na ndugu nimelelewa na watu baki ambao nao waliniokota sehemu fulani.Wakaagana jamaa akasepa,asijue huku nyuma mama yule nusura ajinyonge Analia na kusaga meno baada ya kugundua amelala na mwanae wa kumzaa.Siku zikaenda Mungu nae alivyomjaalia kizazi mama wa watu kumbe kadaka mimba ya yule mwanae.Mama alijiona amelaaniwa kuliko wanawake wote,akatamani kufa..akamlilia Mungu afanye nn...ila akuthubutu kumwambia mtu yanayomsibu yaan ilikuwa ni siri ya yeye na Mungu wake.Mwisho wa siku akashindwa akaamua akaungame kwa mchungaji na kumwomba mchungaji aongee na Mungu wake kimaono kama dhambi aliyotenda je anaweza samehewa.Mchungaji baada ya kusimuliwa akaamua nae amlilie Mungu juu ya mama yule.Usiku akiwa amelala mchungaji akajiwa na ndoto,sauti ya Mungu ikimwambia kamwambie mtumishi wangu nilishamsamehe tangu sikuile aliponililia na kutubu akiwa kajifungia ndani pekeyake sasa kwa kuwa kaitoa siri ya dhambi yake msamaha hakuna tena.
Nimeandika ivi nikimaanisha nn? Ukiona umetenda dhambi iliyochafu mbele ya Mungu na wanadamu iweke iwe siri yako wewe na Mungu wako ...kuitoa kinywani ni Machukizo mbele ya Mungu wako.Hapendi mtu asiye msiri.
 
Kuna mwanamke alifanya kaz ya ukahaba kujikimu kimaisha,bahati nzuri au mbaya akadaka mimba akazaa,akaona mtoto atamchelewesha kwenye mambo yake akaamua amtupe.Wasamari wakaokota na kulea.Mtoto alipozaliwa alikuwa alama kubwa nyeusi mgongoni.
Siku zikaenda mama anaendelea na kaz yake, akapata danga la maana lenye pesa zake wamemaliza mambo yao kijana anageuka avae nguo si ndo mama anaona ile alama yaliyokuwa Mayo mwanae aliyetupa,kumuuliza kijana wewe ni nani ulizaliwa wapi ukoo wako,baba ako.Kijana kamjibu mi sina historia ya kuwa na ndugu nimelelewa na watu baki ambao nao waliniokota sehemu fulani.Wakaagana jamaa akasepa,asijue huku nyuma mama yule nusura ajinyonge Analia na kusaga meno baada ya kugundua amelala na mwanae wa kumzaa.Siku zikaenda Mungu nae alivyomjaalia kizazi mama wa watu kumbe kadaka mimba ya yule mwanae.Mama alijiona amelaaniwa kuliko wanawake wote,akatamani kufa..akamlilia Mungu afanye nn...ila akuthubutu kumwambia mtu yanayomsibu yaan ilikuwa ni siri ya yeye na Mungu wake.Mwisho wa siku akashindwa akaamua akaungame kwa mchungaji na kumwomba mchungaji aongee na Mungu wake kimaono kama dhambi aliyotenda je anaweza samehewa.Mchungaji baada ya kusimuliwa akaamua nae amlilie Mungu juu ya mama yule.Usiku akiwa amelala mchungaji akajiwa na ndoto,sauti ya Mungu ikimwambia kamwambie mtumishi wangu nilishamsamehe tangu sikuile aliponililia na kutubu akiwa kajifungia ndani pekeyake sasa kwa kuwa kaitoa siri ya dhambi yake msamaha hakuna tena.
Nimeandika ivi nikimaanisha nn? Ukiona umetenda dhambi iliyochafu mbele ya Mungu na wanadamu iweke iwe siri yako wewe na Mungu wako ...kuitoa kinywani ni Machukizo mbele ya Mungu wako.Hapendi mtu asiye msiri.
Nimependa kauli ya Mungu eti msamaha hakuna tena, kauli ya kibabe kweli kweli
 
Simaanishi watu wawe na wapenzi wengi. Ila ulichoandika ni uongo.
Why mtu abebe maroho machafu tu na sio baraka za mtu?
.
.
Kuna watu wazinzi balaa na mambo yao yapo super kila idara, unataka kusema hajawahi kutana na mwenye maroho machafu?
 
Simaanishi watu wawe na wapenzi wengi. Ila ulichoandika ni uongo.
Why mtu abebe maroho machafu tu na sio baraka za mtu?
.
.
Kuna watu wazinzi balaa na mambo yao yapo super kila idara, unataka kusema hajawahi kutana na mwenye maroho machafu?
Naomba nikujibu kwa kifupi sana maana hujaonesha kutaka kupata maarifa juu ya Topic bali umeshutumu moja kwa moja kuwa ni uongo ila siku moja madamu andiko hili umelisoma utakuja kukumbuka.
Elewa kwamba Mambo ya Nuruni hayo yatokayo kwa Mungu huja kwa njia safi.
Halafu kipim cha mtu mambo yake kua safi sio vile unamuona ana pesa au ana majumba na anabadili magari, anakula anachotaka na kumiliki vitu vya thamani basi ukaona huyo mambo yake safi, nikuibie siri tu kuna watu wengi kwa nje wanaonekana safi ila ndani ya mioyo yao wanatamani wangezaliwa upya au wangerudisha dunia nyuma ili wasiingie hapo walipo sasa, kuna kina dada wanafanya kazi za umalaya wanaingiliwa kote kwa kuwaangalia wanaonekana wanapesa na wanakula bata kila viwanja ila ukipata bahati ya kumchunguza vizur utaelewa maumivu anayopata kwa kutembea amevaa Pampers au kwa kutokushindwa kubana misuri yake ya mlango wake,
Na kuna wengine wanaishi maisha safi tu na wana amani ila maisha yao badae wanakufa vifo vya aibu au wanaishia pabaya biblia inasema kitabu cha
Mithali 14:12
"Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti"

Kumilikiwa na shetani sio lazima upigike na uishi maisha ya tabu, kwa sasa unaweza ukawa tajiri, msomi, una ushawishi katika jamii, lakini huko badae maisha yako au umilele wako ni wa majuto na kilio.

Kifupi kuna watu wanakua hawana mambo ya kishetani na hawana mambo ya ki Mungu hawa wanakua wanamilikiwa na Roho ya Dunia ambayo kazi yake ni kupenda ya Dunia na kutimiza mambo ya dunia na tamaa zake, watapata mambo yote ya dunia kadri watakavyojibidisha na starehe watafanya haswa ila tu Ufalme wa Mungu watausikia kwa jirani.
 
Simaanishi watu wawe na wapenzi wengi. Ila ulichoandika ni uongo.
Why mtu abebe maroho machafu tu na sio baraka za mtu?
.
.
Kuna watu wazinzi balaa na mambo yao yapo super kila idara, unataka kusema hajawahi kutana na mwenye maroho machafu?
Maisha ya kiroho ni matatifu sana kwa wale wamwabuduo M ungu wa kweli, kuwa na maisha super siyo kigezo cha mtu mcha Mungu, kumbuka pia siyo kigezo cha kuingia mbinguni na pia shetani ana mamlaka ya kumfanikisha mtu ktk maisha
 
Kwa maelezo haya najaribu kuwaza tu vipi nikitembea na mke wa mchungaji nitabebana na roho ya mibaraka tele kutoka upande wa mchungaji nini au nitakuwa sijajihusianisha na mchungaji?

Vipi hakuna uwezekano wa kuchukua roho nzuri nzuri au ni hizi mbaya mbaya tu ndio zinapatikanika.

Ila haya mambo ni magumu sana
we jamaa
 
Habarini wana jamvi kwanza nafurahi siku ya leo nimerejea tena JF baada ya kutoweka kwa miaka 5 na kupoteza Acc yangu ya mwanzo.

Nije kwenye mada husika, katika kipindi hiki nimekua nikiona habari za watu kufanya mapenzi na mara huyu mara yule imekua kawaida tu kiufupi kwasasa sehemu za siri sio siri tena imekua ni sehemu za ndani lakini vijana wengi na hata watu wazima wamekua wakifanya haya either kwa kujua madhara au kutofahamu kwa sababu ya maadili kubadilika imekua vigumu kufahamishwa na watu wanaoelewa juu ya siri ya kutunza sehemu za siri.

Nianze na nini kinatokea kiroho:- Tendo husika huitwa tendo la ndoa yaani ikiw na maana kwamba washirika lazima wawe watu waliofunga ndoa na iwe ni Ke na Me husika ni kwanini? Muingiliano wa sehemu za siri husababisha kuhamisha mambo flani flani ya kiroho kutoka pande mmoja kwenda pande nyingine hivyo kifupi tu nikwamba ukishiriki tenda na huyo mtu unavaa mambo yao ya Asili na kushare mambo ya kiroho kama vile mapepo ya ngono, tabia ya uasherati, nk.

Ndio maana hapo mwanzo ilishauliwa mtu anapoolewa hasa wa kike awe bikra ili kulinda asiwe anamilikiwa na mambo ya asili na roho za watu flani flani walio shiriki nae tendo kabla. Damu inayotoka siku ya kutoa bikra huwa ni kiapo cha damu na alama ya Muunganiko wa asili baina ya me na ke hao.Kifupi nikwamba ukitembea na mke wa mtu au Mume wa mtu jua umelala na mtu anayemilikiwa na koo fulani na mambo ya asili fulani hivyo nawewe unajiunganisha na ma roho hayo ya asili yao.

Kwanini siku hizi ndoa hazidumu:- Ukiachana na sababu za kitabia kama vile uvivu, uchafu na tamaa za maisha ya wengine kuna sababu zilizopo nyuma ya pazia ambazo wengi hawajishughulishi kuwazia huenda ikawa ni sababu wao kukwama, Mlolongo wa watu ulioshiriki nao tendo ni sababu na 1 ya kuharibu ndoa kiaje?

Ipo hivi kwanza ki mwili ukumbuke maungo ya wanawake na wanaume yanatofautiana ikiwa mru huyu atakuja kuolewa na mtu mwenye tofauti Negative na wale aliokutana nao zamani no wazi atakuwa akimis yale mambo na namna alivyokua akifikishwa na huyo mtu wa nyuma hivyo basi ni rahisi kuvumilia kwa muda ila siku ikitokea yule mtu wake wa zamani aliyekua zaidi ya mtu wake wa ndoa akitokea na kuanza kuomba kukumbushia ni rahisi sana wakarudiana na kuendelea kushiriki tendo mpaka hapo ndoa yenu haiwezi kua salama.

Pili kiroho mtu huwa anakua amekaribisha ma roho ya watu hivyo siku unafunga ndoa iwe ni kanisani au msikitini au bomani jua kabisa ki mwili mpo wa wili Me na Ke ila jua kila Upande unakua na list za vivuli wenza wengine yaani ME anakua na vivuli wenza wa kike kama 7 au 20+ kulingana na ushababi wake huko nyuma, KE nae anakua na vivuli wenA kama 9 au 18 + kulingana na vidume vingapi vilimpanda kabla ya ndoa, sasa jumla kuu ndio mjiongeze nanyinyi wawili hiyo ndio inakua ndoa yako ya kikundi hicho. Nikwambie tu ndiomaana kuba watu wameolewa au wameoa ila usiku anapata ndoto nyevu akifanya tendo na ex wake flani, ama akiwa na stress anmkumbuka Ex wake flani, au wengine wakati wa tendo akiwa na mwenza wake katikati ya tendo ili afikie kilele anafanya kumkumbuka Ex wake ndipo anafika mshindo hii yote ni matokeo ya yale kumilikiwa ki roho baada ya ile siku mlopokutana na kushiriki na huyo mtu.

Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya ndoa isidumu na iwe ya tabu na ugomvi.

Kwa leo niishie hapa panapo majaaliwa nitakuja kuelezea namna gani ya kujitoa kwenye hayo ma roho uliyojiingiz kwa kushiriki tendo na mtu hatimae akakuambukiza na tabia zake flani kama umalaya nk vile vile nitazungumzia namna gani inaweza kukupelekea uwe mtu wa kutoka nje ya ndoa tu kila siku.

Nimalize kwa kusema
" NI HERI UWE MWANAMKE AMBAE KILA MWANAUME ATATAMANI KUWA NAWEWE ILA SI MWANAMKE AMBAE KILA MWANAUME AMEWAHI KUWA NAWEWE"
VIVYO HIVYO KWA MWANAUME.

We muongo bana ah!!
 
Ukweli katika tendo la ngono, wahusika hubeba mabaya tu kutoka kwa mwenzake na sio mazuri.Chukua tahadhari kubwa katika maisha yako usithubutu kuoa mwanamke au mwanaume ambaye alishaoa au ana watoto hiyo ndoa itakuwa ngumu na chungu hujawahi ona. Uzinzi na uasherati ni kiini cha matatizo mengi katika ndoa, familia na jamii kwa ujumla wake.

Kama ulishawahi kuwa na mahusiano kabla ya ndoa na unataka kuingia katika ndoa, fanya toba kwa Imani kabla ya kutafuta mwenza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom