Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,915
- 13,379
Ukweli katika tendo la ngono, wahusika hubeba mabaya tu kutoka kwa mwenzake na sio mazuri.Chukua tahadhari kubwa katika maisha yako usithubutu kuoa mwanamke au mwanaume ambaye alishaoa au ana watoto hiyo ndoa itakuwa ngumu na chungu hujawahi ona. Uzinzi na uasherati ni kiini cha matatizo mengi katika ndoa, familia na jamii kwa ujumla wake.
Kama ulishawahi kuwa na mahusiano kabla ya ndoa na unataka kuingia katika ndoa, fanya toba kwa Imani kabla ya kutafuta mwenza.
Umewahi kusikia habari za kuwepo wanawake wenye 'kismati', yaani ukiwa naye unashangaa mambo yako yanaenda poa tu hata akikuomba hela ukampatia unashtukia hiyo wiki unapata michongo ya hela.
Kitu nmepishana na mtoa mada ni hapo kwa kuchukua na mambo ya upande wa pili yaani ya mume au mke.