Umewahi fanya tendo la ndoa na watu zaidi ya watatu? Hiki ndicho kinakuotea

Ukweli katika tendo la ngono, wahusika hubeba mabaya tu kutoka kwa mwenzake na sio mazuri.Chukua tahadhari kubwa katika maisha yako usithubutu kuoa mwanamke au mwanaume ambaye alishaoa au ana watoto hiyo ndoa itakuwa ngumu na chungu hujawahi ona. Uzinzi na uasherati ni kiini cha matatizo mengi katika ndoa, familia na jamii kwa ujumla wake.
Kama ulishawahi kuwa na mahusiano kabla ya ndoa na unataka kuingia katika ndoa, fanya toba kwa Imani kabla ya kutafuta mwenza.

Umewahi kusikia habari za kuwepo wanawake wenye 'kismati', yaani ukiwa naye unashangaa mambo yako yanaenda poa tu hata akikuomba hela ukampatia unashtukia hiyo wiki unapata michongo ya hela.

Kitu nmepishana na mtoa mada ni hapo kwa kuchukua na mambo ya upande wa pili yaani ya mume au mke.
 
Umewahi kusikia habari za kuwepo wanawake wenye 'kismati', yaani ukiwa naye unashangaa mambo yako yanaenda poa tu hata akikuomba hela ukampatia unashtukia hiyo wiki unapata michongo ya hela.

Kitu nmepishana na mtoa mada ni hapo kwa kuchukua na mambo ya upande wa pili yaani ya mume au mke.
Mwanamke yeyote ambaye sio mzinifu uwezekano wa kuwa na kismati upo. Naruhusu kukosolewa
 
Mwanamke yeyote ambaye sio mzinifu uwezekano wa kuwa na kismati upo. Naruhusu kukosolewa

Inawezekana Mkuu japo kwa uzoefu wangu kuna

- wanawake wenye kismati/bahati
-wanawake wa kawaida
-wanawake wenye nuksi

Hawa wenye vismati huwa wanakuja kama bahati tu unajikuta upo naye ila ukisema utafute mwanamke mwenye kismati huwezi mpata.

Na hichi kismati hakiwi kwa kila mtu, anaweza kuwa nuksi kwako ila kwangu akawa wa kawaida ten kwa mtu mwingine akawa kismati.

Nadhani mwanaume ana mchango kwenye hili pia.
 
Umewahi kusikia habari za kuwepo wanawake wenye 'kismati', yaani ukiwa naye unashangaa mambo yako yanaenda poa tu hata akikuomba hela ukampatia unashtukia hiyo wiki unapata michongo ya hela.

Kitu nmepishana na mtoa mada ni hapo kwa kuchukua na mambo ya upande wa pili yaani ya mume au mke.
Nikweli watu wa namna hiyo wapo na ukiwa nae mtu wa namna hiyo hauchukui kismart chake cha mvuto wa biashara au mafanikio bali yeye anafanyika mbole kwako kurutubisha yale mfanyayo siku ukiachana nae na mambo yanaishia hapo, kama vile Yusufu kila sehemu alipokua kwa farao mpaka Gerezani palinehemeka. Hivyo kifupi tu huwezi kulithi kismart kisa umetembea na mwenye kismart.
 
Umenena vema mkuu, mechanism ya sex ukweli wake ni mgumu sana kukubaliana nao. Ila maisha yetu yanaongozwa na ulimwengu wa kiroho ambao wengi hatuchukui muda kuutambua ili kuulinda vema kwa nia ya kujenga maisha ya kawaida ulimwengu wa nyama.
 
Kuna baadhi ya watu wameomba sana nifafanue juu ya namna ya kujinasua sasa kwavile siwezi kujibu kwa mmoja mmoja kule private wacha nijaribu kufafanya kidogo.
NINI CHA KUFANYA IKIWA NI MUHANGA KABLA AU BAADA YA NDOA?
Kuna mambo mawili
i. Ukishafika hatua ya uchumba na kuwa tayari kuoana na huyo mwenzako ambianeni kuhusu historia zenu za zamani ili kulinda badae asije akaanza kusikia mitaani au kwa watu wengine juu ya mambo yako ya nyuma ikamtisha kuendelea au kama tayari mpo kwenye ndoa itakupunguzia value aone kumbe kuna mambo mengi unaweza ukawa umemficha na ulifanya huko nyuma.

ii. Chukueni hatua nyote wawili kwa pamoja wewe na mpenzi wako hasa kwa watu wa dini ya kikristo nendeni kwa Kiongozi wa kiroho mwambieni mpo tayari kuwa pamoja ila hapo zamani kuna mambo ya ujana mengi mlifanya kila mtu kaa watu wake hivyo awaongoze maombi ya kuvunja na kukemea hizo roho zote mlizojiungamanisha nazo hakikisha unafanya kwa dhati.

Kuna wengine sio rahisi kuongea na mwenzake au kumshawishi wafanye hivyo kwa pamoja basi wewe binafsi pata muda wa kuomba na kufunga ikibidi ili kujitoa kwenye maagano hayo uliyoingia maana kuunganisha via vyenu ulijiunga nao.


ANGALIZO
Usije kutumia udhaifu wa mwenzako baada ya kukuelezea mambo yake ya nyuma ikawa ndio fimbo ya kumchapia kila akikosea au akifanya jambo flani unamkumbushia hayo.
 
Naomba nikujibu kwa kifupi sana maana hujaonesha kutaka kupata maarifa juu ya Topic bali umeshutumu moja kwa moja kuwa ni uongo ila siku moja
Tatizo sio ssi kaka mkubwa unaweza ukalenga kuwa na mtu mmoja alafu yeye akashidwa kukuvumilia labda kiuchumi au kwakutamanishwa na wengine ko anapo ondoka na kukuacha kwenye maumivu nawewe ukawa bado una muhitaji

ATA akija mwingine uwezi kutulia naye kwasababu unakuwa na wasiwasi wa kubaki peke ako akaondoka na kukuacha Kama aliye mtangulia na hivyo Ni ngum kwa ssi wanaume kubaki na kichupa kwa muda mrefu maana

ATA kisayans wanashaur kujigij Mara kwa Mara ili akili ikae sawa na mwili kiujumla just imagine Ile filling unakuwa nayo after sex alafu umwambie mwamba atulie kweli akat mmi na ubahili wangu niliacha ku mwezi nachafua boxer asa kweli ndugu yangu me naweza vumilia sjapinga uliyo andika Ila tuombee tu tumshinde shetan
Ameeeeee inshallah MUNGU atusaidie wote tufanye mema
 
Tatizo sio ssi kaka mkubwa unaweza ukalenga kuwa na mtu mmoja alafu yeye akashidwa kukuvumilia labda kiuchumi au kwakutamanishwa na wengine ko anapo ondoka na kukuacha kwenye maumivu nawewe ukawa bado una muhitaji

ATA akija mwingine uwezi kutulia naye kwasababu unakuwa na wasiwasi wa kubaki peke ako akaondoka na kukuacha Kama aliye mtangulia na hivyo Ni ngum kwa ssi wanaume kubaki na kichupa kwa muda mrefu maana

ATA kisayans wanashaur kujigij Mara kwa Mara ili akili ikae sawa na mwili kiujumla just imagine Ile filling unakuwa nayo after sex alafu umwambie mwamba atulie kweli akat mmi na ubahili wangu niliacha ku mwezi nachafua boxer asa kweli ndugu yangu me naweza vumilia sjapinga uliyo andika Ila tuombee tu tumshinde shetan
Ameeeeee inshallah MUNGU atusaidie wote tufanye mema
Hahaha..😄😄😁 Sawa maelezo yako ni sawa na yamenifanya nifurahi ki uhalisia ulichoelezea ni sawa kabisa na ndio kitu kinachoendelea mtaani, ila sasa hapa tumepata mbivu na mbichi tuamue wenyewe yani ukiwa unafanya au ukaona upo kwenye ndoa afu vitu flani huvielewi elewi kumbuka hii kitu pia
 
Mahitaji ya kwanza ya mwanaume ni SEX.

Ni sawa sawa na petrol kwenye gari.

Petrol kwenye gari inaifanya gari li function.

wanaume hatutaki sex bali TUNAHITAJI SEX.

ndio maana hatuna hedhi za kila mwezi kwasababu muda wowote tupo tayari!

Tufanyaje sasa ndugu mtoa mada?

Sex ni mind na sio basic needs
 
Habarini wana jamvi kwanza nafurahi siku ya leo nimerejea tena JF baada ya kutoweka kwa miaka 5 na kupoteza Acc yangu ya mwanzo.

Nije kwenye mada husika, katika kipindi hiki nimekua nikiona habari za watu kufanya mapenzi na mara huyu mara yule imekua kawaida tu kiufupi kwasasa sehemu za siri sio siri tena imekua ni sehemu za ndani lakini vijana wengi na hata watu wazima wamekua wakifanya haya either kwa kujua madhara au kutofahamu kwa sababu ya maadili kubadilika imekua vigumu kufahamishwa na watu wanaoelewa juu ya siri ya kutunza sehemu za siri.

Nianze na nini kinatokea kiroho:- Tendo husika huitwa tendo la ndoa yaani ikiw na maana kwamba washirika lazima wawe watu waliofunga ndoa na iwe ni Ke na Me husika ni kwanini? Muingiliano wa sehemu za siri husababisha kuhamisha mambo flani flani ya kiroho kutoka pande mmoja kwenda pande nyingine hivyo kifupi tu nikwamba ukishiriki tenda na huyo mtu unavaa mambo yao ya Asili na kushare mambo ya kiroho kama vile mapepo ya ngono, tabia ya uasherati, nk.

Ndio maana hapo mwanzo ilishauliwa mtu anapoolewa hasa wa kike awe bikra ili kulinda asiwe anamilikiwa na mambo ya asili na roho za watu flani flani walio shiriki nae tendo kabla. Damu inayotoka siku ya kutoa bikra huwa ni kiapo cha damu na alama ya Muunganiko wa asili baina ya me na ke hao.Kifupi nikwamba ukitembea na mke wa mtu au Mume wa mtu jua umelala na mtu anayemilikiwa na koo fulani na mambo ya asili fulani hivyo nawewe unajiunganisha na ma roho hayo ya asili yao

Kwanini siku hizi ndoa hazidumu:- Ukiachana na sababu za kitabia kama vile uvivu, uchafu na tamaa za maisha ya wengine kuna sababu zilizopo nyuma ya pazia ambazo wengi hawajishughulishi kuwazia huenda ikawa ni sababu wao kukwama, Mlolongo wa watu ulioshiriki nao tendo ni sababu na 1 ya kuharibu ndoa kiaje?

Ipo hivi kwanza ki mwili ukumbuke maungo ya wanawake na wanaume yanatofautiana ikiwa mru huyu atakuja kuolewa na mtu mwenye tofauti Negative na wale aliokutana nao zamani no wazi atakuwa akimis yale mambo na namna alivyokua akifikishwa na huyo mtu wa nyuma hivyo basi ni rahisi kuvumilia kwa muda ila siku ikitokea yule mtu wake wa zamani aliyekua zaidi ya mtu wake wa ndoa akitokea na kuanza kuomba kukumbushia ni rahisi sana wakarudiana na kuendelea kushiriki tendo mpaka hapo ndoa yenu haiwezi kua salama.

Pili kiroho mtu huwa anakua amekaribisha ma roho ya watu hivyo siku unafunga ndoa iwe ni kanisani au msikitini au bomani jua kabisa ki mwili mpo wa wili Me na Ke ila jua kila Upande unakua na list za vivuli wenza wengine yaani ME anakua na vivuli wenza wa kike kama 7 au 20+ kulingana na ushababi wake huko nyuma, KE nae anakua na vivuli wenA kama 9 au 18 + kulingana na vidume vingapi vilimpanda kabla ya ndoa, sasa jumla kuu ndio mjiongeze nanyinyi wawili hiyo ndio inakua ndoa yako ya kikundi hicho.

Nikwambie tu ndiomaana kuba watu wameolewa au wameoa ila usiku anapata ndoto nyevu akifanya tendo na ex wake flani, ama akiwa na stress anmkumbuka Ex wake flani, au wengine wakati wa tendo akiwa na mwenza wake katikati ya tendo ili afikie kilele anafanya kumkumbuka Ex wake ndipo anafika mshindo hii yote ni matokeo ya yale kumilikiwa ki roho baada ya ile siku mlopokutana na kushiriki na huyo mtu.

Hizi ni baadhi tu ya sababu zinazofanya ndoa isidumu na iwe ya tabu na ugomvi.

Kwa leo niishie hapa panapo majaaliwa nitakuja kuelezea namna gani ya kujitoa kwenye hayo ma roho uliyojiingiz kwa kushiriki tendo na mtu hatimae akakuambukiza na tabia zake flani kama umalaya nk vile vile nitazungumzia namna gani inaweza kukupelekea uwe mtu wa kutoka nje ya ndoa tu kila siku.

Nimalize kwa kusema
" NI HERI UWE MWANAMKE AMBAE KILA MWANAUME ATATAMANI KUWA NAWEWE ILA SI MWANAMKE AMBAE KILA MWANAUME AMEWAHI KUWA NAWEWE"
VIVYO HIVYO KWA MWANAUME.
Haya mambo ni magumu no body has it all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom