Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Bora hiyo mara mia, mia nilijua story yako itaishia kwenye majanga ambayo mara nyingi yemenikuta, kila kitu inekwenda sawa, umeshaingia gharama, ukiusasambua mzigo ukifika kwenye kufuli unatia mkono unakutana na ji pad la always limetunaaa kaa kigodoro!!!
nilipata kuhadithiwa na mdau mmoja,wapo wanawake wakienda kwenye michepuko wanatoa mzigo,wakirud njia kuu wanamwagia tomato sosi