Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru wako siitaji kujua nani alikuchezea alikuharibia maisha nasema leoo nk imetosha aijalishi uligfanya nini nasema tena kuanzia leo
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi
wako mwaanandoa
pdidy merriage centre
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi
wako mwaanandoa
pdidy merriage centre