Umeteseka sana kuachwa na wachumba na kusihia kuvalisha pete pokea habari njema juuyako

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru wako siitaji kujua nani alikuchezea alikuharibia maisha nasema leoo nk imetosha aijalishi uligfanya nini nasema tena kuanzia leo
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi
wako mwaanandoa
pdidy merriage centre
 
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru wako siitaji kujua nani alikuchezea alikuharibia maisha nasema leoo nk imetosha aijalishi uligfanya nini nasema tena kuanzia leo
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi
wako mwaanandoa
pdidy merriage centre

naona una matatizo mawili makubwa:-

a) Unachukulia sote tumeteseka jambo si kweli hata chembe.............................

b) Hujui ya kuwa kupendwa na Muumba pia kuna maana kukuepusha na karaha za mtarajiwa ambaye Muumba anajua siku za usoni atakuletea tafurani tupu...................................

c) labda niishie hapo kwa sasa..........................
 
jaman aaaaameeeeen
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru wako siitaji kujua nani alikuchezea alikuharibia maisha nasema leoo nk imetosha aijalishi uligfanya nini nasema tena kuanzia leo
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi
wako mwaanandoa
pdidy merriage centre
 
Amina kubwa
Nimepewa mamlka halali ya mbinguni na duniani leo nasema leo kuanzia usiku huuu nakutangazia utakae mpata atkuwa mume wako ama mke wako wa milele kumbuka mungu ni mungu mweza yote natangaza uhuru wako siitaji kujua nani alikuchezea alikuharibia maisha nasema leoo nk imetosha aijalishi uligfanya nini nasema tena kuanzia leo<br />
mungu anakwenda kukupa mume /mke bora <br />
nakutakia kupokea kwa imani in jesus name<br />
ubarikiwe natumaini hutonisahau kwenye kadi zisizo na michango yaani mualiko wa harusi <br />
wako mwaanandoa<br />
pdidy merriage centre
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom