Umetafuta Fundi wa gari yako? Uliza chochote kuhusu gari lako

shoohenry

Member
Jun 21, 2016
58
12
Umetafuta Fundi wa gari yako mwaminifu na mtaram&mzoefu ujampata shoo diesel service ndio jibu lako kwa gari zote za diesel , 1kz, 1hz, 3L, 2L, pajero, dayna, canter pamoja na fusso zote pia kwa gari kubwa zote tunatengeneza carmis na pump kubwa zote SCANIA zote , IVECO, BENZ, Volvo, DAF, REYLEND, na zote zitumiazo diese. Wasiliana nasi. +255758277823
TENGENEZA NASI UFAIDIKE
Shoohenry5@gmail.com

Tunapatikana dar es salam, tabata dampo
 
Shoo diesel service, inapenda kushirikiana na watu wote lengo ni mafanikio kwa kila mmoja.

Shoo diesel service inatoa ofa ya asilimia 20% kwa kila aletae kazi (auto service) katika kampun yetu atalipwa asilimia 20% ya kazi aliyoletwa pia kwa wale wenye magari service moja itakuwa na punguzo la 30% asilimia kwa gharama ya spare na ufundi karibu sasa..

TENGENEZA NASI UFAIDIKE..
Kwa maelezo kuhusu huduma zetu....+255758277823
 
Tupo dar es salam, tabata. Ukija mwenyewe utapata punguzo la asilimia 30% kama charge labour na asilimia 20% kwenye spare karibu...
 
Uliza tatzo, shida ya aina yyte kweny gari yako usaidiwe kiushauli sasa...
 
uliza Maswali na jinsi utakavo udumia gari yako wakati wote kutana nam sasa Kwa matatizo yote ya gari lako....
8ac0adb50a21708e06eef729c81ee3a6.jpg
 
Gari yangu aina ya Noah engine 3s inawaka taa ya check engine na inawaka na kuzima, je utanisaidiaje?
 
Tunarekebisha na kutengeneza gari aina zote kwa kuzingatia ubora na maitaji ya mteja wasiliana nasi kwa sim no. +255758277823
2e8a2b52f245ecb25d72f845f7aeafb7.jpg
 
Tunarekebisha na kutengeneza gari aina zote kwa kuzingatia ubora na maitaji ya mteja wasiliana nasi kwa sim no. +255758277823
2e8a2b52f245ecb25d72f845f7aeafb7.jpg
Sawa ww ni fundi wa magari. Mimi ninatumia gari Toyota Land Cruiser (hardtot -1HZ 78) ina tatizo la gear namba tano haingii, imeshushwa gear box mara tatu kwa siku lakini tatizo liko pale pale nifanyeje??? ukiwa kama fundi.
 
Shock nizer hii ni control ilioko ndan ya gear box kaz yake kuongoza na kuruhusu mpangilio wa gear.. kufa kwake inashindwa kuama kwa ajili ya kuplay gear...

Pia kuna kitu kinaitwa differential unit hii ni motion inayotokea kwenye gear liver kwa aniline ya kuruhusu gear unayo itaji..hivyo ikifa inachangia kwa matatizo kama hayo ...

Pia haya matatizo yanawza sababishwa na fundi kutokua makini katka upangaji mzima wa gear box mana gear box inaitaj umakin kuliko chochote

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom