shoohenry
Member
- Jun 21, 2016
- 58
- 12
- Thread starter
- #41
Mkuu kugonga kwa gari kunakuwa na visababishi vingi vizur nikaja ulipo au ukaja ifisini ili tujue tatzo linalo sababisha karibu mkuuMkuu shoohenry
Nina gari aina ya Toyota Grand Mark 11 injini ya 1JZ, D4 vvti inatoa mlio kama inagonga ndani ya injini. Hasa ukikanyaga mafuta kwa nguvu. Katika dashboard hakuna taa yoyote ya tahadhari inayowaka. Una idea na tatizo laweza kuwa ni nini?
Nawasilisha
+255758277823
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app