Umesoma vitabu gani mwaka 2018?

Mwaka huu nimesoma hivi


Dan Brown - Origin.

Dale Carnegie- How to win friends and influence people.

Robert Ludlum- The Bourne Betrayal.

Michael Connell- Chasing a dime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta hiki kitabu wakuu kinaitwa
capitalist niger by chika onyeani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Wangu...Red Giant.

Alivyokitaja hapo kwa list yake nilikitafuta nikisome,

Naam Nilipata kukisoma kina kurasa chache sana kuna huna mambo ni siku mbili Au moja wakimaliza.

Chika kaelezea baadhi ya mambo tuyakosayo Waafrica ukilinganisha na race zingine "Caucasians" akitaja kuwa ni (Hapa panahitajika kamusi ya kiswahili niwie radhi) Killer-Instinct,Devil May care na Spider Web Economy.

Kwa kiasi flani hivyo vitu vitatu ukivitazama kwa undani waweza kuona kama kweli kwa Africa.

Lakini watu wengi walimkosoa kwamba hoja zake ni dhaifu na zinamakosa mengi na chumvi nyingi.

Kwa mfano kunasehemu aliandika kwamba Waziri mmoja wa Japan aliwahi kusema Africa(Black People ) tunauwezo mdogo sana kiakili kiufupi na kwa lugha kali kwamba ni vilaza wa kiwango cha juu,lakini alishindwa kuweka ushaidi waziri alikiwa anaitwa nani na Ilikiwa mwaka gani..?

Jambo lingine aliaandika kuwa ukienda bara la Africa magari (BMw,Mercedes Benz,Jaguar) ni mengi kuliko Watu.


Nadhani chika alijitahidi kuonyesha Watu Weusi tunafeli Wapi,anasaidia kutanua mawazo pia kwa namna flanii.

Wacha nijaribu kukiweka kitabu hapa kama kitakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amazing book.
1550220163484.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PURE SSD CHEMICAL SOLUTION FOR CLEANING BLACK NOTES

We are based on cleaning black dollars, Euros and British pounds, we work basically on % level , we provide direct cleaning solution and extraction of mercury from high currency notes to clean all the coded black dollars , Euros and pounds, for further details contact us via email below.

Please contact us via email for more details .... kerianpushkas@gmail.com

We supply SSD CHEMICAL SOLUTION specialized in cleaning all types of defaced banknotes, black banknotes, anti-breeze, stamped, marked or stained currency e.g BLACK dollars,pounds,rands,euro and all types SSD CHEMICAL SOLUTION FOR CLEANING DEFACED CURRENCY.

Please contact us via email for more details .... kerianpushkas@gmail.com

Contact email..... kerianpushkas@gmail.com
Phone number...... +237672087424
 
Nimesoma vitabu vifuatavyo :

1. Our Philosophy
2. Blasting the foundation of Atheist
3. Where is Allah
4. Reason,Revelation and Reconstitution of Rationality.
5. Ibn Taymiyyah against the greec Logicians
6. Defining Legends
7. Vitabu vya Lugha.
8. Vitabu vya Imani yangu (Uislamu)
Mkuu kama una softcopy naomba namba mbili
 
Wakuu ni mwisho wa mwaka tutumie hizi siku zimebaki kujitathmini usomaji wetu kama ilivyo deaturi yetu.

Mi usomaji wangi haukuwa mzuri. Nimesoma vitabu vitatu na vingine viwili sikumaliza.
1.A god who hate. Hiki kuna member Alisina niliona amekiupload.Nikakipakua na kikanivutia kusoma. Huyu mama muandishi anaeleza maisha ya mwanamke wa kiislamu na magumu yake. Pia anashutumu imani hiyo. Kinavutia na rahisi kusoma.

View attachment 969204

2. 1984
Hiki kitabu nilianza kusoma muda ila mwaka huu nikashawishika kukimaliza. Ni fiction lakini kipo serious sana. Kinazungumzia ubaya wa ujamaa, serikali ya mabavu, uminyaji wa uhuru nk.Wakati wa Nyerere kilipigwa Marufuku sijui kama wamekifungulia.
View attachment 969669
3.The Capitalist Nigger. Haka kakitabu kuna mdau alikaweka humu ndani. Ni katkitabu kafupi kama page 50. Kanazungumzia hali ya mtu mweusi hasa kiucgumi na kielimu. Kana idea nzuri ya jinsi mtu mweusi anaweza kukomboka. Ila kaba lugha kali.View attachment 969670

4.Kitabu changu.Niliandika na kuchapa kakitabu mwaka 2013. Huwa karibu kila mwaka nakasoma. Na kila nikikasoma napata kitu kipya!!!

5.The man who mistook his wife for a hat.
Hiki kitabu nilianza zamani kusoma lakini sijakimaliza. Ni kitabu kifupi na kinavutia sana.Kinazungumzia wagonjwa wa akili wenye matatizo adimu na ya kushangaza.
View attachment 969679

6.The politics book.
Haka kakitabu kanaelezea historia ya siasa toka zama za zamani kabisa. kanaeleza kwa njia rahisi na fupi. Ni kazuri ila sijakamaliza bado.
View attachment 969683

Malcom Lumumba , Kiranga Wick mitale na midimu Nalendwa zitto junior MSEZA MKULU et al
Mm nimesoma;-
1. POWER OF POSITIVE THINKING
2.RICH DAD POOR DAD
3.THE UNCOMMON WOMAN
4.SECRETS OF NOT TO DIE


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom