Umesoma vitabu gani mwaka 2018?

Wanasema kuna writer's block. Mi nahisi pia kuna Reader's block. Kuna kipindi unakua huoni genre gani usome. Mpaka mkutane hivi na watu ndiyo unapata idea ya vitabu vizuri vya kusoma. watu humu wammemention kitabu cha Trevor Noah. Sikuwahi hata kukisikia. Saahivi nakisoma na ni kitabu bomba sana. Nafikiri kujadilijadili vitabu kunasaidia sana.

Almost vitabu vyote nimepata mawazo kutoka humu Jf

Binafsi mie ni msomaji wa kitu chochote
Yaani nasoma chochote na sijawahi kukosa kitu....

Wadau tuendelee kuweka softcopy hapa
Tunafaidika wengi.
 
Almost vitabu vyote nimepata mawazo kutoka humu Jf

Binafsi mie ni msomaji wa kitu chochote
Yaani nasoma chochote na sijawahi kukosa kitu....

Wadau tuendelee kuweka softcopy hapa
Tunafaidika wengi.
Karibu group la vitabu utapata unachokihitaji

READERS ARE LEADERS
cc
VITABU
 
1.You have a brain.. Carson
2.How to write
3.Who will cry when I die.. Sharma
4.The art of public speaking 10th Edition.. Lucas
5.The presentation :Secret of Steve Jobs
6.Tough times never last but tough people do.. Schiller
7.Goal setting.. Tracy
8.Speak to win.. Tracy
9.Scientist must write
10.Public speaking.. Carnegie
11.Public Speaking for success.. Carnegie
12.Reinvention..Tracy
13.Writing scientific research articles.. Cargill
14.I can, I must, I will.. Mengi
15.How to stop worrying and start living.. Carnegie
Hivi ndo vitabu nimesoma kwa mwaka 2018



Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.You have a brain.. Carson
2.How to write
3.Who will cry when I die.. Sharma
4.The art of public speaking 10th Edition.. Lucas
5.The presentation :Secret of Steve Jobs
6.Tough times never last but tough people do.. Schiller
7.Goal setting.. Tracy
8.Speak to win.. Tracy
9.Scientist must write
10.Public speaking.. Carnegie
11.Public Speaking for success.. Carnegie
12.Reinvention..Tracy
13.Writing scientific research articles.. Cargill
14.I can, I must, I will.. Mengi
15.How to stop worrying and start living.. Carnegie
Hivi ndo vitabu nimesoma kwa mwaka 2018



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza tuwekea 3 na 7 tuongeze maujuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom