Umesoma vitabu gani mwaka 2016?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,885
habarini wakuu. mwaka umeisha na ni wakati wa kujitathmini na kushirikishana vitabu tulivyosoma na mambo yaliyomo. Mwaka huu sikuwa na usomaji mzuri sana. nimesoma vitabu vitatu na vingine sikumaliza.

1. The planet of slums na Mike Davis. kinazungumzia "anatomy'' ya majiji ya nchi masikini. umachinga, kufumuka kwa ulokole, kwanini si rahisi kuhamisha watu kutoka slums hata ukiwapa nyumba? nk.
7855.jpg

2. The Prince na Niccolo Machiaveli. kinazungumzia mbinu za utawala.
c7bc35f579799a5973f2b66937bcd3af.jpg

3.Guns, gems and steel na Jarod Diamonds. hiki ndiyo namalizia kusoma. kinaelezea kwanini kuna tofauti ya maendeleo duniani. kimejikita kwenye sababu za msingi za kihistoria. kitabu kimoja bomba sana na kinaelimisha sana. Ahsante kui kwa kupendekeza hiki kitabu.
images

4.The great divide. hiki kinazungumzia tofauti za kiuchumi za wamarekani.sikukimaliza labda ntakisoma tena.
41P964TeTDL._SX322_BO1,204,203,200_.jpg

we umosoma vipi?
cc king kan, nyumba kubwa, MALCOM LUMUMBA, MSEZA MKULU, The Boss, Dark City
Umesoma kitabu/vitabu gani mwaka 2014?
Umesoma vitabu gani mwaka huu?
 
nimesoma pia mkuu.
nitaviweka hapa japo mwaka huu sijasoma kama nilivyojipangia nikiiangalia list ya vitabu,documentaries, biographies nilivyoiandika january 2016 leo naona sijafanya homework yangu vzr lkn mwaka 2017 ni mwaka wa marekebisho.

nitaweka list hapa baadae mkuu...

UPDATES
Nilikuwa na mpango wa kusoma Bibilia yote lakini haukufanikiwa kwa ufanisi nikaishia kusoma baadhi ya sehemu na Mwana 2017 ni fursa ya kujisahihisha ili angalau nimalize hata agano moja Maanaya Maneno yake ni ya kina sana na thamani kubwa kuliko kitu chochote maishani.
1:The Joy of Encouregement
images

Hapa nimejifunza kuna faida kubwa katika kuwekeza kwenye kuinua watu hasa waliokata tamaa na wenye changamoto. Dunia inapungukiwa na Kutiana Moyo,Upendo na Kujengana kati ya yetu sisi kwa sisi.

2:SECRET TERRORISTS
SecretTerrorists.jpg

Hapa Huyu Mdau anazungumzia jinsi ambavyo Vyama vya siri vinavyooperate chini ya Carpet katika kufikia malengo yao. Kile tukionacho sio uhalisia wa mambo wakati wote. Inaelezea Jinsi katiba ya marekani na mataifa mengine yalivyoingiliwa,CRF,na matukio mbali ya kusisimua duniani katika mlengo wa NJAMA/CONSPIRANCY.

3:The BLACK POPE
images

Hiki kitabu kinaelezea Historia nzima ya Jesuits. Kinaelezea watu wawili wakubwa duniani walioshape historia ya dunia ambao ni MARTIN LUTHER na LOYOLA. Matukio mengi ya duniani enzi hizo na sinsi dunia ilivyoathiliwa na wazo la mtu mmoja Kutokea Hispania baada ya Kujeruhiwa na kushindwa kuwa kamanda wa vita na kuamua kuwekeza katika vita vya fikra. Loyola

4:ECONOMICS FROM BIBLICAL PERSPECTIVE
Economy-PP-website.jpg

Hapa uchumi unachambuliwa kwa mlengo wa bibilia na inaonyesha jinsi ambavyo bibilia pia ni source ya kanuni nyingi za kiuchumi kutokea kitabu cha mwanzo.

5:HOW WE GOT TO KNOW SIX INNOVATIONS THAT MADE OUR MODERN WORLD
images

Hapa inaelezwa jinsi ambavyo, Kioo, Baridi, SAuti,HYGINE, Muda,Mwanga vitu hivi vilivyoibadili taswila ya dunia ya technolojia tangu siku kimojawapo kilipogunduliwa . Mabadiliko haya yamekuwa katika mfumo wa HUMMING BIRD. Yaani Mfano Ugunduzi wa kioo, Kikasababisha Miwani baada ya kugunduliwa printer na watu wengi kuanza kusoma hadi leo kimepelekea kuwa na SELFIE technology wakati kilianza kama kioo cha kujionea. Kupitia kioo Tukapata Darubini Tukaona vijidudu, Tukapata Telescope galileo akaona miezi ikisunguka sayari anga za mbali.

6:DEEP WORK
images

hapa kuna vitu vingi mfano. Mapumziko mtandao, ATTENTION RESIDUE, na vitu vingine vingi ikiwepo mbinu mbalimbali za kuwa focused katikati ya dunia hii iliyobize sana.

7:MAKING IDEAS HAPPEN
images

Kitabu hiki kinaelezea jinsi ya kufanya mawazo yako yawe katika uhalisia na mbinu mbalimbali ambazo zikiwekwa kwenye uhalisia zinaweza kufanya kutoka mahali ulipokwama.

8:The Moral Saying of Publius Sylus: A roman slave
51GsvX0fjOL._SX331_BO1,204,203,200_.jpg

Humu anaelezewa kijana mmoja mtumwa aliyenunuliwa kutoka syria lakni hekima,Vipaji na busara zake huko Roma zilimfanya apendwe na kuwa mtu mkubwa katika historia ya enzi hizo. Na misemo na Mithali yake ilikusanywa na kufanywa kitabu.



DOCUMENTARIES
1:THE UNTOLD HISTORY OF ISLAM
Hizi ni series zilizoelezea kuanzia kwa Baba yake Mtume Mohammad SAW, Maisha yake,Kufa kwake, Islamic Calphates chini ya Viongozi wake Abu Bakar, Umar, Uthman, ALi na Kuanguka kwa Dola hilo la kiislam na kuibuka kwa makundi mbalimbali ya kidini ikiwemo Sunni na Shia na mambo yaliyokuwa yakiendelea kipindi hicho.

2:CREATIONISM VS EVOLUTION SERIES
Hapa nilipitia Chanzo cha elimu ya Evolution, Madhaifu yake na Changamoto zake katika ulimwengu wa sasa ukilinganisha na Creation.

3:THE OPERATION PAPERCLIP
hii ni documentary inayoelezea kilele cha vita vya dunia vya pili na jinsi ambavy majasusi,wa Urusi,Marekani na Uingereza walipoingia katk vita vya kuwasaka wanasayansi wa Hitler ili elimu waliokuwa nayo waihamishie kwenye nchi zao. Hii inaelezea nini US walifanya na matokeo yake.

BIOGRAPHIES OF FAMOUS AND INFLUENTIAL PEOPLE
1:Biography of Lee Kuan Yew
2:Biography of Zhao Zhiyang
3:Biography of Narendra Modi
4:Biography of Madam C.J Walker
 
Moja ya maazimio yangu ya mwaka 2016 ilikuwa ni kusoma vitabu, pamoja na u-busy nimemaliza kusoma vitabu hivi hapa chini. Ni mchanganyiko wa fiction na non-fiction.

Unaweza vipakua hapa: Library Genesis AU Bokos-Z1

Maximizing your Potential - Myles Munroe
As a man thinketh - Jame Allen
Zero to One - Peter Thiel
Njama - Elvis Musiba( Novel)
Cash Flow Quadrant - Kiyosaki
Crippled America - Donald J. Trump
How to read a book - Doren
Hofu - Elvis Musiba( Novel)
The Street Lawyer - John Grisham(Novel)
Just as I Am - Billy Graham
Creative Schools - Ken Robinson
Ashamed of The Gospel - John MacArthur
The 5 Love Languages - Gary Chapman

HAPPY NEW YEAR 2017 to ALL JF Members.
 
Mi nimesoma JAMES HADLEY CHASE (Master mind book) Japo sijamaliza. Mwaka ujao nimepanga kusoma HEALING WONDERS OF PLANTS (volume 1 and volume 2), NATURAL REMEDIES ENCYCLOPEDIA (sixth edition), HEALTHY AND STRONG (Nutritional Guide for Mothers and Adolescents).
 
yah mkuu viorodheshe hata vile top tuvitafute tusome.

Sawa mkuu wangu hivi ni vya haraka:

1.The Holy Bible- By Prophets and Apostles.

One of the best books any one could ever read without getting tired, its old but still not a relic of the past . Its application replenishes my soul and nourishes my face every day as my eyes trail along every single verse inspired by the spirit of God. Its more than a book, it accounts human life reflected in its past, its present and its future; and i guess this is what makes it very special than any other books perched high.

2. Apollo's Arrow: The Science of Prediction and the future of everything - By Dr. David Orrell.

I was just mesmerized by the author when he unraveled the poverty of science at its best, he asserts that scientists, governments, organisations and other people in the academia strive hard to make the science of prediction handy. They spend Billions of dollars learning and trying to predict the Weather, Financial Markets, International Politics and Global Economy at the End of the tether the results are always disastrous due to the Opacity of the future. Henceforth he vividly explains the major disasters that cascaded our world despite the fact that scientific predictions are the major themes of the day in this new millennium. In 2000 no body was aware of the Millennium Bug, Weather Forecasters in Venezuela were caught off guard by a devastating torrential rain which struct The city of Vargas for two days. Its one of the great book to read.

3. Conflicting missions: Havana, Washington and Africa 1959- 1976- By Pierro Gleijesses.

Cold War business as usual, but the author mainly spoke of the role of Cuban forces in the struggle of independence of countries in Southern Africa. The book clearly displays how Cuban armed forces and intelligentsia were able to punch above their size, despite the fact that at a time the Cuban economy was brutally ravaged by a barrage of sanctions arraigned by the United States and her allies deliberately aiming at crippling the fast growing Communist state within the Caribbean.

4. From Babylon to Timbuktu: A history of Ancient black races, Including the Black races. - By Dr. Rudolf Windsor

The author is good at imagining, perhaps he imagined too much. He gave an account of how the black race had influenced the world from the ancient past to the late antiquity. He believes that ancient Arabs and Hebrews were black people who were once proud of their heritage. Once in a book he dared to say that, at once the European Continent was the most backward, cold and the darkest place where firm civilizations could not thrive. He gives very powerful logical explanations but unfortunately his accounts are not purely anthropological; they are deeply ingrained from the observations made from theological perspective, to be precise Judaism, Christianity and Islam. And i believe that this is the main reason that this tremendous piece of work never made it to the Mainstream Academia.

5. Full Spectrum Dominance: Totalitarian Democracy in a new world order- By Dr William Engdahl

Dr. Engdahl speaks of the brutal Military doctrine The American Empire Adopted during and after the Cold War. In the book he exposes the most fascinating and yet dangerous chronicles The Pentagon has been pursuing in a superficial project called FULL SPECTRUM DOMINANCE f trying to control the whole world especially through containing the growing Russian Influence and placing an Iron wedge Between the Growing China threat and the rejuvenated Russian Military Prowess. The means and methods of waging war have been changed and C.I.A no longer clings in the old methods of Covert operations of assassinations and Sabotage, but it rather uses sporadic but yet very brutal and efficient methods like propagating The Colour Revolutions and Financing Global Terrorism.

6. The 6th Extinction: A Sigma force novel- By James Rollins

The novel is explaining how the tragedies of the past like can succumb our modern society. In the first Chapter the author bring Charles Darwin back to life, and explains how the search for knowledge nearly costed his life. He also speaks of how technology and great knowledge of the past is was lost in antiquity and that we don't have any special knowledge to shelter ourselves at the time of need.

7. The Hot Cold War: The USSR in the Southern Africa- By Vladmir Shubin

To me this is most balanced Book about African history to ever been written by the white man. He appreciates the efforts made by Africans during the struggle against colonialism. And in some early chapters he commends the brilliant efforts done by the African states of SADC in commissioning THE HASHIM MBITA PROJECT ON DECOLONISATION. He believes that African history can be written by anyone but The Best part of African History will only be written by African Scholars. The author of the was once a young Soviet Soldier stationed in African to supervise the Soviet Operations in the South.

8. Congo Exploration, Reform and a brutal legacy (Exploration of Africa, The Emerging Nations)- By Bruce and Becky Dorost-Fish

Written by Anthropologists who ask themselves questions like " If life emerged in Africa, And the Cradle of Mankind is deeply rooted within its soil, What can Africa offer to the rest of the world?". Years past an the Continent still clings behind, and even thous great light shines on humanity but Africa is Darkest of All Continent. Does this render African useless to the world? Or is Africa behind on the Matter of perspectives? What about the traditional knowledge on medicine and foods Africa can offer to the the modern world doomed by pestilence? What of African history, how should we view it? These are some pressing issues withing the framework of this book.


9. God's Undertaker: Has Science Buried God? - John Lennox

Its a vicious debate between Scientists and believers, the book covers the comments of the world's notable Academics.
Its very challenging and makes you think twice about the current position you hold on God.

10. The Third Way: The Renewal of Social Democracy- By Dr Anthony Giddens.

An English Professor who believes that despite the collapse of Communism in the world, European economies are still haunted by the ghost of Marx and his philosophies. Capitalism is good but at its best is very divisive and communism is very efficient but planned economy is a stumbling block to Market economy which is the main pillar of world economy. Henceforth at the crossroad between Capitalism and Socialism governments have found themselves to resort to Science and technology as the main driving force of our modern society. To Giddens total dependence on Science and Technology is wrong and bears great repercussions for the coming generations. As we all know unlike Capitalism and Socialism, Science is value free and therefore anything whether good or bad within the society can be justified for the sake of science. What should therefore be done? Should we return to total Capitalism of of the 20 Century or adopt Socialism and its elements of Command Economy just as suggested by Karl Marx? The Solution to this is the third way, Having both values of Capitalism and Socialism in the same system. Pursuing Markets forces yet having the society that cares for the people who are left behind. In this regard Socialism will only come to remedy the excesses of Capitalism, like adding more emphasis on THE STATE OF SOCIAL WELFARE.


AND THE LIST STILL GOES ON....................
 
Red Giant my bro,
Xmas was in Nonde, I lost my bishdo on 24th, Xmas eve.
Asante kwa topic ya leo.
Vitabu.
Ukitaka kumficha siri mtu mweusi, iweke kitabuni.
Hatusomi ndio maana tu watu duni.
Tunajenga nyumba nzuri sana na hazina maktaba na ghala la kuhifadhia nafaka ( siongelei store mnakoweka makorokoro, spare zisizo na kazi, mafyekeo, matairi mabovu etc) Naongelea ghala la vyakula.
Mwaka huu nimesoma Vitabu vichache kabisa.
1. Nimesoma Biblia
2. Makuwadi wa Soko huria
3. Katiba inayopendekezwa
4. Secret of powers
5. Long walk to the freedom
6. Master of the game
7. Memories of midnight
8. From the distance
9. Learn from the best
 
Biblia yote. Kurasa 12 kila siku. Naanza tena upya leo niimalize kwa mara ya pili safari hii nikisaidiwa na tools mbalimbali. Happy New Year jamani...

Biblia haichoshi mkuu,
Halafu mtiririko wake unawiana vizuri sana kama ukiisoma yote tokea mwanzo halafu ukalinganisha na uhalisia wa matukio ya kihistoria. Ahsante Mungu kwa kutupa Biblia.
 
Red Giant my bro,
Xmas was in Nonde, I lost my bishdo on 24th, Xmas eve.
Asante kwa topic ya leo.
Vitabu.
Ukitaka kumficha siri mtu mweusi, iweke kitabuni.
Hatusomi ndio maana tu watu duni.
Tunajenga nyumba nzuri sana na hazina maktaba na ghala la kuhifadhia nafaka ( siongelei store mnakoweka makorokoro, spare zisizo na kazi, mafyekeo, matairi mabovu etc) Naongelea ghala la vyakula.
Mwaka huu nimesoma Vitabu vichache kabisa.
1. Nimesoma Biblia
2. Makuwadi wa Soko huria
3. Katiba inayopendekezwa
4. Secret of powers
5. Long walk to the freedom
6. Master of the game
7. Memories of midnight
8. From the distance
9. Learn from the best
hongera kwa usomaji mzuri mkuu. mwaka huu inabidi nijibidiishe kusoma Biblia.
 
Biblia haichoshi mkuu,
Halafu mtiririko wake unawiana vizuri sana kama ukiisoma yote tokea mwanzo halafu ukalinganisha na uhalisia wa matukio ya kihistoria. Ahsante Mungu kwa kutupa Biblia.
nafikiri hicho Appollo's arrow na The 3rd way vitakuwa bomba sana. mwaka huu ntakusanya nguvu nisome Biblia yote.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom