Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Marekani walitengeneza mtambo wa kugundua wezi,Wakafanyia majaribio kwa nchi nne za africa .
- South Africa ulichukuwa siku saba ukakamata wezi wanne,
- Nigera siku moja wakamatwa wezi 30,
- Kenya ndani ya masaa 6 wakamatwa wezi 69 na
- Tanzania ndani ya saa moja tu na mtambo wenyewe ukaibiwa......duh