Chacho Haulage
JF-Expert Member
- Aug 25, 2017
- 234
- 205
Pole sana ndugu, Mungu akutie nguvu na aboreshe afya ya mama
Kwenda caanan☹️🤭
Mleta mada nisamehe tuko nje ya lengo ila mdau ananichokonoa hiki kipindi cha kampeni...tuanze kwanza wewe umesikia wapi anaendesha nchi😂😂Huyo anayeendesha nchi kwenda wapi?
Pole sana mleta mada.Mungu atende jambo kwa mama yako.
Pole sana Rafiki..Muamini Mungu kwa kila kitu..Mwenyezi Mungu amponye mama.Mimi nimekata tamaa, Nimefika mahali ambapo sioni mbele,nipo mahali ambapo ni kama jangwa sioni tumaini kabisa, Nimechoka sana.
Mama yangu anaumwa kansa,ana fight nayo sana sijui ni kansa ya nini ila imesababishwa na kidonda,alikuwa na kisukari akapata kidonda na icho kidonda hakijapona hadi kimeleta kansa
Tumeangaika mahospitalini sana na sasa yupo kwenye tiba ya chemotherapy
Nmetumiwa message leo kuwa hajashinda vizuri kabisa, natakiwa kwenda
Moyo unaniuma sana mama yangu bado kijana tu.
Nina mambo mengi siwezi elezea yote,nimefika mahali nimekata tamaa kabisa