Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,819
mapenzi ni kitu kilichopo toka enz, sasa ndugu zanguni....,tuliopo kwenye mapenzi na tuliokuwepo kwenye mapenzi....ulishawah au umewahi kumpenda mtu bila kuweka neno tatizo au neno ila katika hayo mahusiano yako? mfano:mimi nampenda sana mpenzi wangu tatizo mfupi. hebu tupia yakoo mwanajf