Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

gstar

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
759
1,245
Watu wengi wanatumia mtandao wa Internet ku-explorer website mbalimbali, lakini kumbe website tunazo zitembelea ni asilimia chache sana ya website zilizo jificha zinazoitwa 'deep web'.

Hata ukitumia traditional search engine kama google.com na yahoo.com utaweza kupata asilimia chache kama 20% ya information zote zilizo kwenye Internet. Kumbe kuna taarifa nyingi ambazo zipo kwenye mtandao ambazo hatuna access nazo, zaidi ya 80%.
Inakadiriwa kwamba ukubwa wa data zilizo kwenye deep web au dark web ni mara 400 ya taarifa zilizopo kwenye website za kawaida.

Deep web kumbe yaweza kufananishwa na pande la barafu linalo elea baharini ambapo ni kipande kidogo tu kitakacho kuwa juu ya maji na asilimia kubwa huwa chini ya maji na si rahisi kuiona.
icebergdeepweb-1.jpg

NINI KIPO KWENYE DEEP WEB
Taarifa nyingi za kutishwa na kuogofya zinapatikana huko kwenye deep web, pia kuna mamilioni ya websites yaliyojaa uchafu wa kila aina.

Mfano ni website kama Hiden Wiki ambayo ni kubwa na ina taarifa nyingi zaidi ya normal wikipedia, Pia mitandao mingi inayo ishia na .onion inahifadhi taarifa za deep/dark web.

WATUMIAJI WA DEEP WEB
Watumiaji wakubwa wa deep web ni watu ambao hawataki taarifa zao zijulikane kirahisi mfano Wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya, wanao fanya biashara za binadamu, wezi wa mitandaoni(proffesional hackers), majasusi, majambazi wa kimataifa, picha chafu za ngono na zisizo ruhusiwa n.k.

JINSI YA KU EXPLORER DEEP WEB
Ukitaka ku explorer deep web kwanza lazima uwe na Browser maalumu kwenye pc yako mfano Tor Browser inapatikana katika platform mbalimbali kama windows linux pamoja na mac. Fuata maelekezo ya kuinstall ukisha install Tor Browser waweza kuanza kupitia link

Warning: Usitumie deep web if you are not brave enough.

Ahsante
 
Watu wengi wanatumia mtandao wa Internet ku-explorer website mbalimbali, lakini kumbe website tunazo zitembelea ni asilimia chache sana ya website zilizo jificha zinazoitwa 'deep web'.

Hata ukitumia traditional search engine kama google.com na yahoo.com utaweza kupata asilimia chache kama 20% ya information zote zilizo kwenye Internet. Kumbe kuna taarifa nyingi ambazo zipo kwenye mtandao ambazo hatuna access nazo, zaidi ya 80%.
Inakadiriwa kwamba ukubwa wa data zilizo kwenye deep web au dark web ni mara 400 ya taarifa zilizopo kwenye website za kawaida.

Deep web kumbe yaweza kufananishwa na pande la barafu linalo elea baharini ambapo ni kipande kidogo tu kitakacho kuwa juu ya maji na asilimia kubwa huwa chini ya maji na si rahisi kuiona.

NINI KIPO KWENYE DEEP WEB
Taarifa nyingi za kutishwa na kuogofya zinapatikana huko kwenye deep web, pia kuna mamilioni ya websites yaliyojaa uchafu wa kila aina.

Mfano ni website kama Hiden Wiki ambayo ni kubwa na ina taarifa nyingi zaidi ya normal wikipedia, Pia mitandao mingi inayo ishia na .onion inahifadhi taarifa za deep/dark web.

WATUMIAJI WA DEEP WEB
Watumiaji wakubwa wa deep web ni watu ambao hawataki taarifa zao zijulikane kirahisi mfano Wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya, wanao fanya biashara za binadamu, wezi wa mitandaoni(proffesional hackers), majasusi, majambazi wa kimataifa, picha chafu za ngono na zisizo ruhusiwa n.k.

JINSI YA KU EXPLORER DEEP WEB
Ukitaka ku explorer deep web kwanza lazima uwe na Browser maalumu kwenye pc yako mfano Tor Browser inapatikana katika platform mbalimbali kama windows linux pamoja na mac. Fuata maelekezo ya kuinstall ukisha install Tor Browser waweza kuanza kupitia link zifuatazo.

http://7g5bqm7htspqauum.onion/ Hidden Wiki - Tor Wiki Hidden Service link collection
http://zgrl6sghf5jh37zz.onion/ Hidden Wiki - Onion Urls, Deep Web Links
http://xqrqbzhii6m6sdrv.onion/ OnionDir - Deep Web Link Directory
http://udsmewv45lunzoo4.onion/ TorLinks - Onion Links List Hidden Wiki mirror

Ukiweza kukamilisha kupitia baadhi ya link uje hapa utupe mrejesho.

Warning: Usitumie deep web if you are not brave enough.

Ahsante


I should've learned my lesson the first time, but my stupidity really overrided me here. Here's my story.

I discovered the Deep Web at the beginning of the year and began reading up on BTC quite a bit. I also read up on the services quite a bit (just not thorough enough research). I decided to buy a $100 worth of goods from brainmagic. I figured it was a scam and was willing to bite the bullet to let other newbies know. I was okay with the loss even though I prefer to let my money not get stolen. I was correct in the assumption of scam

At the time, I had coins stored in OnionWallet and had been able to get my coins out the wallet which had left over .056 BTC. That sat for awhile and I was able to access the account. Yesterday, wanting something from Pandora, I got more BTC and decided to transfer these coins to my OnionWallet until I could transfer them to Pandora. That account, after pending the coins, immediately stopped working. I followed the coins on blockchain after finding out it was a scam and found that the account the money was ultimately sent to was run by the same guy as brainmagic. I've lost a total of $810 due to this scammer and have no one to blame but myself.

My "research" was not thorough and I could've handled this all far better. I've been a fucking idiot. Facepalm for the newb!

I know now that if I am ever to use the deep web again for any kind of purchasing, I must leave my money in the wallet of the site I bought my BTC from until making my purchase from a known vendor that has scammed. I know that I cannot really trust anything. I know how easy it is to lose a chunk of my money. To other newb's:

DON'T DO WHAT I DID. LOOK UP EVERYTHING AND I MEAN EVERYTHING BEFORE YOU INVEST. YOU CAN AND WILL BE SCAMMED VERY EASILY IF YOU GET CARRIED AWAY AND DO NOT THINK


Just so everyone knows the wretched sites (though most probably do):

Brainmagic - http://ll6lardicrvrljvq.onion/
OnionWallet - http://ow24et3tetp6tvmk.onion/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom