Umeonaje kiwango cha Taifa Stars bila wachezaji wa Simba?

Kwenye lugha ya mpira maneno haya hutumika
Sare means matokeo sawa mfano 1-1, 2-2 kifupi ni kuwa timu zifungane kwa idadi sawa ya magoli
Then kuna suluhu yaani timu zisifungane kabisa iwe 0-0
Hicho ndo kiswahilii cha mpira
Utopinyo hawajui mpira🤣🤣
 
Back
Top Bottom