Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,266
- 33,039
KUIONA HIYO PICHA BONYEZA HAPA http://yugop.com/ver3/stuff/03/fla.html
Au bonyexa hapa http://billychasen.com/clock/
Au bonyexa hapa http://billychasen.com/clock/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
add kwenye favouritesEbwana ni tarehe ya leo saa ina majira kamili na seconds zinatics, haya ndo maajabu ya software men, natamani niisave vipi sijui
naona mimi hizi picha zinaonyesha muda kwa mfano kwa sasa ni saa 03:04 plus seconds kadhaa
thanks mie nilikuwa mbali kisaikolojia teh teh teh
Duh!! Yaani kwa kadiri unavyoangalia picha hizi ndivyo muda unavyozidi kwenda.
add kwenye favourites
Ebwana ni tarehe ya leo saa ina majira kamili na seconds zinatics, haya ndo maajabu ya software men, natamani niisave vipi sijui
baada ya hapo mbona mie sizielewi ??? 1,2 ,3 ............10 Q and
Hii lazima uwe na mazoezi, au jamaa unataka kusema kuna maana nyingine zaidi ya hii intepretation
naona mimi hizi picha zinaonyesha muda kwa mfano kwa sasa ni saa 03:04 plus seconds kadhaa
thanks mie nilikuwa mbali kisaikolojia teh teh teh
bibie nlishakupa jibu juu kabisa nalo hukuelewa pia jamani? waniangushaa weeewe na kisura chako kizuri, nadhani upo kama avatar hiyo