PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Hey wanandugu,
Kuna kitu gani special na wanawake/wadada wa Kisukuma kulinganisha na wa makabila mengine?
Nawasikia vijana wengi wanapanga kuoa huko, na wengine wanasikitika kuwa lau wangejua wangeoa binti wa Kisukuma!
Pia kuna mdada mwanaJF mwenzetu nilikuwa naongea nae kwa simu, akanambia..."PJ ungebahatika kuoa msichana wa Kisukuma, basi ungekuwa na afya njema kuliko ulivyo sasa...", japo hatujawahi kukutana na mdada huyu ili ajue currently nina afya inayofananaje!
Binafsi sijabahatika kufika usukumani, lakini pia sijapata kuwa na ukaribu na mwanadada wa kabila hili...!
Je watu hawa wana nini cha ziada, nijulisheni kwa faida ya wadogo zangu na waoaji wengine!
Kuna kitu gani special na wanawake/wadada wa Kisukuma kulinganisha na wa makabila mengine?
Nawasikia vijana wengi wanapanga kuoa huko, na wengine wanasikitika kuwa lau wangejua wangeoa binti wa Kisukuma!
Pia kuna mdada mwanaJF mwenzetu nilikuwa naongea nae kwa simu, akanambia..."PJ ungebahatika kuoa msichana wa Kisukuma, basi ungekuwa na afya njema kuliko ulivyo sasa...", japo hatujawahi kukutana na mdada huyu ili ajue currently nina afya inayofananaje!
Binafsi sijabahatika kufika usukumani, lakini pia sijapata kuwa na ukaribu na mwanadada wa kabila hili...!
Je watu hawa wana nini cha ziada, nijulisheni kwa faida ya wadogo zangu na waoaji wengine!