Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Lugha uliyotumia si ya kiungwana!
Acha wivu wa kike,utaliwa bure,Hata ikiwa toyo huko ulaya,wewe Pambana na hali yako huko.
Wapanda Dala Dala Wabobezi huu Uzi hautuhusu tafadhali.
Lazima wakerweNi ushauri mzuri Ila umetumia lugha ya kuwakera wengine.
Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Ni kwa mujibu wa sheria ya usalama barabaraniKwani bima ndogo inafanya kazi gani katika gari?
Daaah tunapigwa sana
Sina hakika kama unafaham maana ya bima lakini pia nina wasiwasi kama umeshawahi kumiliki hata Bajaj uliyo inunua kwa hela yako; na maanisha hufaham gharama zozote za matengenezo ya gari ikapata ajali ndio sababu una andika vitu usivyo vijua.Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Au yeye msadukayoFanya kazi wewe mgerasi.
Kwanini ugonge slash ugongwe alama ya kuuliza nuktaUmechemka sana mkuu.
Comprehensive sio kwa ajili ya kufidiwa gari ikiungua au kuibiwa tu bali hata ukigonga au kugongwa bima ita cover
Asante Sana mkuuukweli mtupu ….. unakata mara ya kwanza mara ya pili na kuendlea unarudi ya kawaida . mkuu umeshusha nyundo ya kichwa watu wanahaha,wanatafutana mi nimekuelewa point yako …..
Kweli hasaraukweli mtupu ….. unakata mara ya kwanza mara ya pili na kuendlea unarudi ya kawaida . mkuu umeshusha nyundo ya kichwa watu wanahaha,wanatafutana mi nimekuelewa point yako …..
Elimu hii yw bima imeeleweka kwenye upande wa magari tu? Yaani mtu huyo huyo anayemilki duka la milioni 200 Kariakoo hajalikatia bima lkn kivari Cha milioni 20 amekata comprehensive unaona ni sawa tu?Elimu ya Bima haisomwi mtaani, Uliza wanao elewa au uende darasani!
Ukute hata baiskeli hunaOya usitufokee, sawa?
Hatupangiwi.