Umenunua kigari cha milioni 15 unakata bima comprehensive. Una akili sawa sawa wewe?

Kwahyo compresiv insurance ukikat ata kwa gari ya million 9 inabd ulipe million kwa mwaka.
 
Wapanda Dala Dala Wabobezi huu Uzi hautuhusu tafadhali.

niko zangu mataa ya chang'ombe hapa dakika ni ya 20 traffic anamvuta bibi yake sijui!!!

yaani ninechoka mwili na akili,joto kali na harufu za ajabu ajabu ndani ya eicher la masaki.
 
Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?

Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.

N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.

Kalaga baho!

ukweli mtupu ….. unakata mara ya kwanza mara ya pili na kuendlea unarudi ya kawaida . mkuu umeshusha nyundo ya kichwa watu wanahaha,wanatafutana mi nimekuelewa point yako …..
 
Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?

Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.

N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.

Kalaga baho!
Sina hakika kama unafaham maana ya bima lakini pia nina wasiwasi kama umeshawahi kumiliki hata Bajaj uliyo inunua kwa hela yako; na maanisha hufaham gharama zozote za matengenezo ya gari ikapata ajali ndio sababu una andika vitu usivyo vijua.
Kumbuka Bima kwa gari ya Mil 10 ni kama laki nne kwa mwaka hivi; ungejua gharama za matengenezo ya gari , ungekuwa unaelewa kwa nini watu wanashauriwa wakate comprehensive
Lakini pia ungejua maana ya Bima na risk analysis ungejua kwa nini kwa umuhimu gari ndio inatakiwa ikatiwe Bima kabla ya nyumba ila kama mtu anajiweza, ni vizuri akatie gari na nyumba
Elimu ya Bima haisomwi mtaani, Uliza wanao elewa au uende darasani!
 
ukweli mtupu ….. unakata mara ya kwanza mara ya pili na kuendlea unarudi ya kawaida . mkuu umeshusha nyundo ya kichwa watu wanahaha,wanatafutana mi nimekuelewa point yako …..
Asante Sana mkuu
 
Elimu ya Bima haisomwi mtaani, Uliza wanao elewa au uende darasani!
Elimu hii yw bima imeeleweka kwenye upande wa magari tu? Yaani mtu huyo huyo anayemilki duka la milioni 200 Kariakoo hajalikatia bima lkn kivari Cha milioni 20 amekata comprehensive unaona ni sawa tu?
 
Jana wamenichorea mkeka sina bima mwaka mzima huu na ruti napiga kama kawa mbeya dom dar kg kote nimechafua
 
Back
Top Bottom