Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,465
- 70,189
Sure mkuu baiskeli ipo ya hapa home ya mdingi wangu 😂Ukute hata baiskeli huna
Sure mkuu baiskeli ipo ya hapa home ya mdingi wangu 😂Ukute hata baiskeli huna
Dah T14 Armata chalii yangu amelikeHongera Mkuu ambaye hutumii umeme na wala gari, naona Jf umeingia kwa kutumia boga
Boss thamahani hivi lile zoezi la kufanya kitu iwe mnato lilifaa au ndo hili linakupa stress hizi?Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Ikila mzingo kwa bima hiyo unafaidika na ninBima nayokata ni ya laki na kumi na saba ikila mzinga nitajua mwenyewe
Unakichoma moto ili ufidie gharama zakoUnakuta umekitumia kigari chako miaka 5 hakijapata ajali unaamua kijitoa kinyemela hiyo bima na kulipa bima ndogo
@Muuza viatu ujaelewa nilichomaanisha nakata sababu ya kutoa usumbufu tu. Ila ingekuwa hiari nisingekataIkila mzingo kwa bima hiyo unafaidika na nin
Na mim nataka kujua namna ya kufaidika kulingana na kiwango hicho cha ulipaji@Muuza viatu ujaelewa nilichomaanisha nakata sababu ya kutoa usumbufu tu. Ila ingekuwa hiari nisingekata
Hapo ni sawa kabisa kwa kigezo kuwa, Ukifanya risk analysis, uwezekano wa gari kupata ajali ni mkubwa zaidi kuliko duka la kariakoo. Hivyo kinacho hitajika ni kumuelimisha tu kuwa, aongeze na duka kwenye BimaElimu hii yw bima imeeleweka kwenye upande wa magari tu? Yaani mtu huyo huyo anayemilki duka la milioni 200 Kariakoo hajalikatia bima lkn kivari Cha milioni 20 amekata comprehensive unaona ni sawa tu?