KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Mbwembwe zote umekuja ukifurahia umepata kazi serikalini,Taasisi za benk,Mashirikaya kimataifa Kwenye makampuni ya uwakili kumbe yote umenisaliti mkewangu umehonga kitu nilichokitolea mahali?????!!!Hapana inauma sana nimepoteza imani nawewe!!!Kumbe mbwembwe mume nimenunua gari yawezekana kibosile ndo kanunua??!!Nimekumbuka wimbo wa feruzi