''umenifanya niwachukie wanaume wote ulimwenguni''

Mimi naamini Moyo "safi" unaomjua Mungu na Ukajaaliwa kupenda... Hata ukivunjwa na kua kama vipisi vya kioo kilichovunjwa huweza mend.... Na kupenda tena; Mda gani itachukua? Wa namna gani atependa? Inategemea na mtu na circumstances.... Mtu wa kuchukia moja kwa moja namna hio ni lazima ana tatizo. Hivo inawezekana; ila naweza sema ni bahati kwa yule ambae alijing'amua kwa huyo.

Ashadii hujambo jamani?Kuna kutendwa kwingine tema mate chini,kuna mtu alimwambia ex wake mbele ya hakimu kwamba " ....... hata ukisikia nimekufa kama watoto wetu wako kwako wape watu wengine watoto(maana walikuwa bado wadogo then) waje wanizike mimi baba yao ila wewe ukija mazishini sita-ZIKIKA".Sasa can you imagine huyo mtu katendwa kiasi gani mpaka aseme maneno hayo?
 
Ashadii hujambo jamani?Kuna kutendwa kwingine tema mate chini,kuna mtu alimwambia ex wake mbele ya hakimu kwamba " ....... hata ukisikia nimekufa kama watoto wetu wako kwako wape watu wengine watoto(maana walikuwa bado wadogo then) waje wanizike mimi baba yao ila wewe ukija mazishini sita-ZIKIKA".Sasa can you imagine huyo mtu katendwa kiasi gani mpaka aseme maneno hayo?


Kikungu mie mzima dear..... Kutendwa is what makes us more mature.... more wise... more calculative... more appreciative of mahusiano yanayo kuja mbele. Kuambiwa hivo na huyo mwanaume kutaniumiza, nisononesha, nimaliza; ila hakutanivunja. WHY? At the end of the day hayo ni mawazo yake tu.... Na mawazo yake sio absolute na wala sio nguzo za Mwenyezi Mungu. Kama alotendwa atatambua hilo then atatambua pia kua baada ya mda fulani it is OK to move on na kumpata mwingine; Ambae pia nae aweza kukutenda (na hapo ndio where the excitement is) Hujui itakuaje.... Ndio maana unapokua katika mahusiano live the moment, wakati wa raha usichokoe wala kutafuta karaha; Kwani karaha huja bila kukaribishwa wala kupiga hodi.
 
Anataka kupelekewa moto huyo. Msikilizie then mpe kitu, alfu chuna. ana hamu huyo, anazuga tu. Kakumbuka mashine.

Habari zenu wadau!ebana kuna mmanzi mmoja aliwahi kuwa galfrd wangu wa enzi hizo,bt ilitokea tukatofautiana then kila mtu akaenda njia yake ila ye bado alikua ni kama ananilalamikia mie kuwa ndo chanzo cha yote,asa tukachuniana kwa muda kidogo ila leo nkashikwa na kiherehere cha kumtafuta,2kasalimiana fresh then nkamtania kwamba shemeji yangu hajambo?eti ye akanijbu kwa niliyomfanyia yalimfanya awachukie wanaume wote ulimwenguni.sasa najiuliza hvi inawezekana kosa la mtu mmoja limfanye mtu awachukie watu wa jinsia flani kias hiki jaman au ananizuga tu?
 
Haya angalieni Soy Tu Duena kwenye ITV muone vimbwanga vya Valentina alipoachwa kwenye mataa siku ya harusi.
 
Kama ingekuwa hasira zake ni za kweli wewe kwenye listi ndo ungekuwa wa kwanza katika kuchukiwa. Lakini kwa kuwa hadi mawasiliano mmefanya hiyo ni dalili tosha kuwa hakuchukii na kama wewe hakuchukii iweje achukie ambao hajawafungulia pachupachu? We omba re-match na upige hadi kater.... Ila uwe makini asiku-lulu.
 
Kikungu mie mzima dear..... Kutendwa is what makes us more mature.... more wise... more calculative... more appreciative of mahusiano yanayo kuja mbele. Kuambiwa hivo na huyo mwanaume kutaniumiza, nisononesha, nimaliza; ila hakutanivunja. WHY? At the end of the day hayo ni mawazo yake tu.... Na mawazo yake sio absolute na wala sio nguzo za Mwenyezi Mungu. Kama alotendwa atatambua hilo then atatambua pia kua baada ya mda fulani it is OK to move on na kumpata mwingine; Ambae pia nae aweza kukutenda (na hapo ndio where the excitement is) Hujui itakuaje.... Ndio maana unapokua katika mahusiano live the moment, wakati wa raha usichokoe wala kutafuta karaha; Kwani karaha huja bila kukaribishwa wala kupiga hodi.

maneno ya busara sana aunt. Nimeyameza kama yalivyo. Lol
 
Tufundishane kuwa hatupaswi kuwachukia watu kwakuwa tumeagizwa upendo. Unadhani atalipwa nini yule awapendae watu awapendae yeye tu? Ila twapaswa kuyachukia matendo yaliyo mabaya tu sio watu maana kumpenda mtu ni pamoja na kumfundisha ukweli na wema.
 
Habari zenu wadau!ebana kuna mmanzi mmoja aliwahi kuwa galfrd wangu wa enzi hizo,bt ilitokea tukatofautiana then kila mtu akaenda njia yake ila ye bado alikua ni kama ananilalamikia mie kuwa ndo chanzo cha yote,asa tukachuniana kwa muda kidogo ila leo nkashikwa na kiherehere cha kumtafuta,2kasalimiana fresh then nkamtania kwamba shemeji yangu hajambo?eti ye akanijbu kwa niliyomfanyia yalimfanya awachukie wanaume wote ulimwenguni.sasa najiuliza hvi inawezekana kosa la mtu mmoja limfanye mtu awachukie watu wa jinsia flani kias hiki jaman au ananizuga tu?



ni vigumu kwa vichaa kujifunza jambo jipya!!!!!!!!
 
Anakuzuga tu huyo na ww ujiskie mwanaume! Yaani umtende wewe tu wanaume wote wasiwe na maana? Si ajabu anamshukuru Mungu kumtoa kwenye dhahma yako kumuweka kwenye pepo anapopendwa na kuthaminiwa. Hawezi kukuambia hivyo usoni unajua? U shouldn't have asked!
 
ndio maana mie huwa sibebi mayai yote kwenye kapu moja, haya yakidondoka yakavunjika angalau nabaki na kikapu kingine! we utawekezaje mwili roho na nafsi kwa mtu mmoja? lazima uwe na kidumu ili ndoo ikimwagika kidumu kinaokoa jahazi, hii ni kwa waliokomaa kiakili tu !
Tutapona na Ngoma kweli kwa hivi vidumu???
 
Habari zenu wadau!ebana kuna mmanzi mmoja aliwahi kuwa galfrd wangu wa enzi hizo,bt ilitokea tukatofautiana then kila mtu akaenda njia yake ila ye bado alikua ni kama ananilalamikia mie kuwa ndo chanzo cha yote,asa tukachuniana kwa muda kidogo ila leo nkashikwa na kiherehere cha kumtafuta,2kasalimiana fresh then nkamtania kwamba shemeji yangu hajambo?eti ye akanijbu kwa niliyomfanyia yalimfanya awachukie wanaume wote ulimwenguni.sasa najiuliza hvi inawezekana kosa la mtu mmoja limfanye mtu awachukie watu wa jinsia flani kias hiki jaman au ananizuga tu?

Inawezekana. ila ni ngumu kusema mengi bila kujui kiina au aina ya tatizo ulilomfanyia mwenzako! Tupe kwa kifupi hilo kosa ili tuweze kupima kama linaweza kuwa sababu ya kuwachukuia wanaume wote!
 
Inawezekana. ila ni ngumu kusema mengi bila kujui kiina au aina ya tatizo ulilomfanyia mwenzako! Tupe kwa kifupi hilo kosa ili tuweze kupima kama linaweza kuwa sababu ya kuwachukuia wanaume wote!

kuna wrong text nilikua namtumia kidosho mwingne,bahati mbaya nikajichanganya nikamtumia yeye and at the same time niliisha mcheat ya kwamba she was my only one..ndo ukawa mwanzo wa mtafaruko wetu!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom