Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Ahsante kwa kuniikumbuka, nimefika.
Jee, kama genereta lipo tatizo ni JK? ingekuwa genereta hakuna hapo ndio tungemshutumu Mkuu.
Haya ni makosa ya watendaji na inabidi hatuwa za haraka zifanyike na wachukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu kwa makusudi kabisa.
Uozo wa utendaji Muhimbili unaonyesha kukomaa, (nikikumbuka na kisa cha kizembe kabisa cha kuchanganya wagonjwa).
Maisha ya watanzania yanapokuwa hatarini na kupotea kama hili la muhimbili basi raisi wa nchi anakuwa responsible. yaani bucks zote zinaishia kwake!