Erick Msheshe
Member
- May 28, 2019
- 8
- 11
nilijua luku kumbe mji mzima
nilijua luku kumbe mji mzima
Afadhali umegundua hilo...haya kachukue ile tablet yako ya akili na ubongo kids uangalie..Halafu Mama kuwa huku JF na mwanao siyo vizuri!
hatari mzee
Afadhali umegundua hilo...haya kachukue ile tablet yako ya akili na ubongo kids uangalie..
Kwani nilikuwa naumwa?!
Nikumbushe hebuKipindi kile kutokana na nanilihu!
Ndovu😋😋Mama leo umekunywa bia ya Safari?!
Tulikuwa kwenye project fulani hv, sasa mim eneo langu lilikuwa namanyele na kirando, sasa iliandikwa namanyele/kirando. Nilijua ni sehemu moja, sasa utata unakuja zimebaki siku mbili, nauliza wenyeji wananambia kirando ni mwendo kama wa masaa mawili hadi matatu, na ni mji mkubwa. Aisee acha tu ila nilifika na nikafanikisha