Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,442
- 3,353
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME DAR ES SALAAM NA ZANZIBAR
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.
Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .
IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaskitika kuwatangazia wateja wake, kuwa kumetokea hitilafu kwenye kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Ubungo leo Desemba 15, 2021 saa 3:18 asubuhi.
Mafundi wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo hilo, kufikia saa 5:00 asubuhi huduma ya umeme itakuwa imerejea maeneo yote.
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza .
IMETOLEWA NA;
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO MAKAO MAKUU.