Umeme wa Tanesco: Rais Magufuli anajua kinachoendelea?

Tatizo jingine ni mfumo mbovu wa utendaji kazi ndani ya Tanesco, ikumbukwe kwamba shirika hili liliundwa ajili ya kutoa huduma na si business. Kuna urasimu mkubwa sana ktk utendaji kazi wake, kweli shirika linawatalaamu wazuri sana lakini inapokuja kwenye spare parts manunuzi ni tatizo kubwa sana, pesa mpk zitoke u chukua muda mrefu sana, hii upelekea mitambo mingi kuwa juu ya mawe. Inabidi serikali kuruhusu sekta binafsi nazo zizalishe umeme km ilivyo ktk sekta ya mawasiliano. Mfano tatizo kubwa kule mtwara power plant ni ukosefu wa vipuri toka kwa kampuni ya catapila, catapila hawezi kumuuzia Tanesco vipuri sababu ya madeni. Mabadiliko ndani ya Tanesco ni muhimu sana km it aendelee hivyo hivyo mwishowe itakuwa km TTCL.

Sent from my SM-A300FU using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya awamu hii imejaa uongo, unafki, uzandiki, na kiki.
Na hivi kila kitu kinachobamba kinawahusu wao. Ngoja nitaje machache tu.

1. Rais wa kwao, kiki kila siku
2. Makonda kijana mwenye kiki zaidi serikalini
3. Waziri wa umeme ndo huyo wa hukohuko
4. Cdf wa huko
5. Gwajima naye anatoka huku
6. Lugumi naye wa huku
9. Aliyebamba wiki za mwezi wa 11, Dr Shika naye anatokea kwa wazee wa kiki.
 
Nilijua mm peke yangu ndio nmekumbwa na haya masaibu kumbe tupo wengi!!! Poleni sana, ..mm nmefika hatua ya kuwaombea mabaya watendaji wote wa Tanesco...yaani km wanarekebisha nyaya basi umeme uwake uwaue wote, km wamepanda gari basi magari yao yaanguke wafe wote, popote walipo awe waziri ama ofisa yeyote anayehusika na umeme wa Tanesco namuombea kufa Mara moja maana imeandikwa usimwache mchawi akaishi...MTU yeyote anayefanya mbinu za kukwamisha mipango ya wengine huyo ni mchawi...Tanesco wanakwamisha mipango ya watumiaji umeme kibiashara...sasa wafe wao kwanza kabla ya sisi
 
Leo siku kuu ya Uhuru. Tanesco tunashindwa kununua umeme tatizo la mtandao hebu changamkeni mtutoe gizani.
 
Back
Top Bottom