Umeme wa solar ndani ya majiji au miji inawezekana?

optimist

JF-Expert Member
Sep 13, 2009
281
98
Jamani wana JF,

Nimestushwa na habari za kupandishwa kwa gharama mwakani, nikajiuliza sasa mimi nifanyeje kutokana na gharama kuja kunishinda hivyo nikafikiria kuwa nitaweka umeme wa jua yaani solar kwenye mabanda (nyumba) yangu yote ya mjini, ila kuna mtu kanidokeza kuwa kwenye miji na majiji TANESCO hawakubali wewe ujenge nyumba yako katika majiji na miji ukaweka UMEME WA SOLAR, je hii ni kweli?
 
Umeme wa sola hauna masharti, unafunga popote pale, iwe jijini, mjini hata kitongojini. Ni umeme wa bure ingawa gharama za mwanzoni ni kubwa.
 
Kwa Sheria ipi hiyo? Nasubiri vigae vya kuezekea nyumba vya solar vilivyovumbuliwa na wamarekani vifike na huku kwetu vituokoe. Ndege wawili kwa jiwe moja.
 
yaani hapa shida tumeshageuzwa mtaji na hao jamaa, nikivipata hata hivyo vya wamarekani sina mpango na hizotaa za nesco
 
Back
Top Bottom