Umeme wa nuclear

bwanafundi

Member
Jan 13, 2011
17
1
Ndugu zangu wana jamii forums naomba kwa anaejua kuhusu umeme unatokana na vinu vya nyukilia,maana nasikia kuwa huko ulaya hakuna tatizo la umeme yaani upo wa kumwaga,sasa nawaomba mnaejua sababu ni kwa nini tanesco hawatumii nyukilia ili kufilisi huu mgao wa umeme?
 
Back
Top Bottom