Umeme wa luku nyumba za kupanga

...Nakumbuka enzi hizo,kwenye nyumba ya kupanga,kuna baadhi ya wapangaji,walikuwa
sio walipaji wa umeme,mimi na mpangaji mwenzangu tukaita fundi tukamwambia awakatie kwenye vyumba vyao,yule fundi akafanya mafyongo akawakatia wasio husika na wahusika kwenye soketi umeme ulikuwepo na wamechomeka mafeni na maredio kama kawa wanapeta,faza hausi akaitwa kulizuka bonge la zengwee....
 
Mwenyewe sipendi kelele, kuna kipindi nilikua nafanya kazi za field na kampuni moja ya kimarekani so tukapewa pikipiki za kufanyia shantingi za hapa na pale, wapangaji wakawa wananipigia kelele na viredio vyao, nkaingiza pikipiki ndani nkaliwasha nkavuta mpaka mwisho nkalipiga roki nkaondaka nkaliacha linapiga kelele kurudi nakuta kila mtu kanuna nkawaambia kila mtu na chake
Dah :D:D:D kuna watu mnamakusudi.
 
wapangaji mkishakuwa wengi lazima msumbufu yaan yule asiyetoa kabisa au anayetoa kwa mbinde lazima awepo...

Bora kupanga nyumba nzima.. au angalia umeme muwe mnashare wawili...

Mi hizo kero nshazisahau.. na ninapokaa saizi kila mmoja ana kisoma mita cha kwake.. hamna kuibiana units!!

Umeshahama hapo unapoishi.. Ni mbezi beach?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom