wakuu tangu juzi maeneo ya knondon wauzaji wa luku wanalalamika kuwa network hamna,na tumeendelea kukaa giza na joto la mji huu mpaka leo,asubuh nmeenda tena namanga bado wanadai tatizo n lilelile.tena c 2naotumia umeme wa kadi ndo balaa.kama kuna sehemu unapatkana 2julshane wakuu.