Umeme wa 45,000 unakatwa elfu 11 unabakiwa na elfu 34 huyu nchi imemshinda

Anaandika malisa GJ
Fikiria unanunua umeme wa 45K, serikali inalamba 11K kupitia makato mbalimbali, na wewe unaambulia umeme wa 34K tu. Fikiria wewe ni mtumishi, umekatwa PAYE, umekatwa HESLB, umekatwa NSSF. Zote hizo unaichangia serikali. Halafu kile kidogo unachobakiza ukienda kujaza mafuta serikali inakula karibu TZS 700 kwa lita. Ukinunua umeme ndo kama hivi.

Ukinunua sukari, chumvi, mafuta, kote huko wanakulamba kodi zenye kuumiza. Bado hujamtumia pesa mama yako mgonjwa kijijjni ukutane na bwana tozo.

Sasa badala ya kuwaza namna ya kutatua changamoto kama hizi zinazomuumiza mwananchi, tunawaza uchaguzi wa 2025 na maumbile ya wagombea. What the hell with maumbile? Awe mwanamke au mwanaume it doesnt matter, muhimu tunataka kiongozi anayeweza kushughulikia matatizo yetu.

Kama mtu hawezi kushughulika na matatizo ya watu wake, uanaume au uanamke wake unatusaidia nini?

View attachment 1940340
Mahakama ziko wazi usieneze propaganda ili wrote tuamini
 
Nyie wapinzani wa CCM hamjawahi kuwa serious!!! Huyu Marisa ndo mwanzilishi wa ule msemo wa mama anaupiga mwingi!!! Mara mama ameamua kuwakomesha sukuma gang!!

Kamwe nchi haiwezi endeshwa bila Kodi,mwacheni rais afanye Mambo ,nyie pambaneni kumtoa gaidi Mbowe sello
Juzi ulikua unalaumu mishahara haijaongezwa leo umebadilika tena?
 
Anaandika malisa GJ
Fikiria unanunua umeme wa 45K, serikali inalamba 11K kupitia makato mbalimbali, na wewe unaambulia umeme wa 34K tu. Fikiria wewe ni mtumishi, umekatwa PAYE, umekatwa HESLB, umekatwa NSSF. Zote hizo unaichangia serikali. Halafu kile kidogo unachobakiza ukienda kujaza mafuta serikali inakula karibu TZS 700 kwa lita. Ukinunua umeme ndo kama hivi.

Ukinunua sukari, chumvi, mafuta, kote huko wanakulamba kodi zenye kuumiza. Bado hujamtumia pesa mama yako mgonjwa kijijjni ukutane na bwana tozo.

Sasa badala ya kuwaza namna ya kutatua changamoto kama hizi zinazomuumiza mwananchi, tunawaza uchaguzi wa 2025 na maumbile ya wagombea. What the hell with maumbile? Awe mwanamke au mwanaume it doesnt matter, muhimu tunataka kiongozi anayeweza kushughulikia matatizo yetu.

Kama mtu hawezi kushughulika na matatizo ya watu wake, uanaume au uanamke wake unatusaidia nini?

View attachment 1940340
Anayeongoza nchi yupo Msoga kuleeeerr anatumia remote hlf eti apewe 2025 tutalala barabarani watuue,yan kila kitu hvy hvy,umeme hvy,maji hvy,kutishiana unajua mi nani kumerudi,mafisadi ndio muda wao wa kupiga
 
Sasa nchi itaendeshwaje bila Kodi? Tukupe basi nchi uongoze bila kukata Kodi....tupunguzeni malalamiko, mwishowe turudi tulikotoka kwenye vitisho na hofu.

Kwenye kodi kuna pahala pamekosewa, mjukuu anamtumia babu mwenye umri wa miaka 98 vijisenti lakini babu kwenye miamala anakatwa kodi ya serikali baadaya kulipia gharama za kawaida za kampuni za mawasiliano, Je ni sawa hiyo?!!! Yaani serikali imeshindwa kutafuta njia nzuri ya kulipa kodi inaishia kunyanyasa wazee (Senior citizens)?!!! This is cantankerous!
 
Anaandika malisa GJ
Fikiria unanunua umeme wa 45K, serikali inalamba 11K kupitia makato mbalimbali, na wewe unaambulia umeme wa 34K tu. Fikiria wewe ni mtumishi, umekatwa PAYE, umekatwa HESLB, umekatwa NSSF. Zote hizo unaichangia serikali. Halafu kile kidogo unachobakiza ukienda kujaza mafuta serikali inakula karibu TZS 700 kwa lita. Ukinunua umeme ndo kama hivi.

Ukinunua sukari, chumvi, mafuta, kote huko wanakulamba kodi zenye kuumiza. Bado hujamtumia pesa mama yako mgonjwa kijijjni ukutane na bwana tozo.

Sasa badala ya kuwaza namna ya kutatua changamoto kama hizi zinazomuumiza mwananchi, tunawaza uchaguzi wa 2025 na maumbile ya wagombea. What the hell with maumbile? Awe mwanamke au mwanaume it doesnt matter, muhimu tunataka kiongozi anayeweza kushughulikia matatizo yetu.

Kama mtu hawezi kushughulika na matatizo ya watu wake, uanaume au uanamke wake unatusaidia nini?

View attachment 1940340
Hangaya tunae Hadi 2030
 
Tumepishana tuchukulie Rwanda pamoja na kuwa simpendi Kagame kwa kuwa ni dikteta ná muuaji wa wapinzani wake lakini katika kipindi kifupi amenyanyua sana vipato vya Wafanyakazi na Wakulima na hata kuwavutia waliohamia ughaibuni kurudi kwao kwa maelfu ili kuchangamkia ajira zinazolipa vizuri. Nchi yao ni safi sana utadhani uko majuu kwenye nchi zilizo safi. Na mafanikio hayo ni ya miaka 24 au tu baada ya kuuana 1994z. Samia KISHASHINDWA ndani ya miezi minne tu. Hana jipya hasa ukitilia maanani alikuwemo kwenye Serikali tangu 2015. Amebaki kufanya viroja tu lakini uongozi umeshamshinda.
Hamia Rwanda unasubilia nini
 
Tumepishana tuchukulie Rwanda pamoja na kuwa simpendi Kagame kwa kuwa ni dikteta ná muuaji wa wapinzani wake lakini katika kipindi kifupi amenyanyua sana vipato vya Wafanyakazi na Wakulima na hata kuwavutia waliohamia ughaibuni kurudi kwao kwa maelfu ili kuchangamkia ajira zinazolipa vizuri. Nchi yao ni safi sana utadhani uko majuu kwenye nchi zilizo safi. Na mafanikio hayo ni ya miaka 24 au tu baada ya kuuana 1994z. Samia KISHASHINDWA ndani ya miezi minne tu. Hana jipya hasa ukitilia maanani alikuwemo kwenye Serikali tangu 2015. Amebaki kufanya viroja tu lakini uongozi umeshamshinda.
We unapiga tantalillah tu. Umewahi kufika Rwanda ama unaingelea stori za vijiwe vya kahawa.

Kama hujui kitu kaa kimya kuliko kiongea utopolo usio na elimu nao.

Natamani sikunmoja nikupeleke Rwanda then nikurudishe Tz halafu nikuulize tene umeona nni.

Utakuwa ni mpuuzi ukisema Tanzania kuna maisha magumu kuliko Rwanda.
Kama hujatembea kaa kinya kabisa.
 
Acha kujifanya unanijua wewe!!! Wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa kwa Tanzania. Kiwanga aliyekuwa Waziri wa Viwanda alisema hivi karibuni kiwanja cha kuassemble Volkswagen kilikuwa kijengwe Tanzania lakini kutokana na urasimu rushwa na ukiritimba wakaamua kuhamia Rwanda and the rest is history.

We unapiga tantalillah tu. Umewahi kufika Rwanda ama unaingelea stori za vijiwe vya kahawa.

Kama hujui kitu kaa kimya kuliko kiongea utopolo usio na elimu nao.

Natamani sikunmoja nikupeleke Rwanda then nikurudishe Tz halafu nikuulize tene umeona nni.

Utakuwa ni mpuuzi ukisema Tanzania kuna maisha magumu kuliko Rwanda.
Kama hujatembea kaa kinya kabisa.
 
Tumepishana tuchukulie Rwanda pamoja na kuwa simpendi Kagame kwa kuwa ni dikteta ná muuaji wa wapinzani wake lakini katika kipindi kifupi amenyanyua sana vipato vya Wafanyakazi na Wakulima na hata kuwavutia waliohamia ughaibuni kurudi kwao kwa maelfu ili kuchangamkia ajira zinazolipa vizuri. Nchi yao ni safi sana utadhani uko majuu kwenye nchi zilizo safi. Na mafanikio hayo ni ya miaka 24 au tu baada ya kuuana 1994z. Samia KISHASHINDWA ndani ya miezi minne tu. Hana jipya hasa ukitilia maanani alikuwemo kwenye Serikali tangu 2015. Amebaki kufanya viroja tu lakini uongozi umeshamshinda.
Hii ni hawamu ya 4B
 
Back
Top Bottom