Huyu mtumishi Kakobe, alizungumza kwa maneno yake kabisa kuwa kwa tukio la Ngeleja na Tanesco Nchi itakuwa Giza.. Yaani hakuna UMEME... na mengineyo. Na huu ni Mwanzo tu.
Ngeleja nenda hata kisiri kaombe msamaha.. Akikataa kisiri poa tu, hata ikitangazwa inadhuru nini wajameni.
Ngeleja nenda hata kisiri kaombe msamaha.. Akikataa kisiri poa tu, hata ikitangazwa inadhuru nini wajameni.