Kapinga
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 727
- 13
ni lazima kujibu swali hili? clearly serikali yetu through masha and many others wameona umuhimu wa vitambulisho na mwisho wa siku wanarudi home wanawasha generator na kumtuma housegirl akapande foleni ya luku! 1Oyrs down the line wanakuja kama kitine na wenginewo na kuanza kuponda serikali...if you in power act now!! seems bongo viongozi hawana time na mambo ya legacy etc
INAUMIZA KICHWA!!
INAUMIZA KICHWA!!