jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Waungwana mada inajieleza yenyewe
Kwangu Mimi nimelifahamu jina la Mama yangu nilipofanya matembezi kwa Bibi mzaa Mama ndipo nilipolijua jina la Mama
Wakati huo nilikuwa ndio nimemaliza darasa la saba na wakati huo nilikuwa na miaka 15
Je, wewe? Na unafikiria ni kwa nini?
Kwangu Mimi nimelifahamu jina la Mama yangu nilipofanya matembezi kwa Bibi mzaa Mama ndipo nilipolijua jina la Mama
Wakati huo nilikuwa ndio nimemaliza darasa la saba na wakati huo nilikuwa na miaka 15
Je, wewe? Na unafikiria ni kwa nini?