The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,086
Mchezaji wa soka Louis Suarez raia wa Uruguay aliyekua akiichezea Club ya Barcelona ya Spain toka mwaka 2014 - 2020 akitokea Liverpool,aliambiwa na kocha mpya wa Barcelona Ronald Koeman kua alikua na uwezo mdogo wa kucheza soka la ushindani na umri wake umeenda hivyo hakua kwenye mipango ya kocha na akaambiwa atafute team nyingine,
Suarez akapata nafasi ya kuichezea Atletico Madrid ya Spain msimu wa 2020-2021 na kuisaidia Atletico kushinda kombe la La liga kwa kufunga magoli 21 assist 3 katika mechi 32 alizo cheza,Suarez alifunga goli la ushindi dhidi ya Real Valladolid na kuipa Atletico kombe la La liga kwenye mechi ya mwisho ya ligi ya Spain huku Barcelona team iliyomkataa akimaliza ligi kwa kushika nafasi ya 3
Baada ya kushinda kombe la La liga,Suarez alisema;
"Barcelona hawakunithamini,waliniona mtu mwenye uwezo mdogo na Atletico wakanifungulia milango na kunipa nafasi,
Siku zote nitaishukuru hii club kwa kuniamini"
Je, wewe umewahi kua rejected sehemu yeyote kisha ukatusua sehemu nyingine?
Mods msihamishe hii mada coz sio tu ni ya Sports bali pia ina funzo kwenye maisha nje ya Soka.
Suarez akapata nafasi ya kuichezea Atletico Madrid ya Spain msimu wa 2020-2021 na kuisaidia Atletico kushinda kombe la La liga kwa kufunga magoli 21 assist 3 katika mechi 32 alizo cheza,Suarez alifunga goli la ushindi dhidi ya Real Valladolid na kuipa Atletico kombe la La liga kwenye mechi ya mwisho ya ligi ya Spain huku Barcelona team iliyomkataa akimaliza ligi kwa kushika nafasi ya 3
Baada ya kushinda kombe la La liga,Suarez alisema;
"Barcelona hawakunithamini,waliniona mtu mwenye uwezo mdogo na Atletico wakanifungulia milango na kunipa nafasi,
Siku zote nitaishukuru hii club kwa kuniamini"
Je, wewe umewahi kua rejected sehemu yeyote kisha ukatusua sehemu nyingine?
Mods msihamishe hii mada coz sio tu ni ya Sports bali pia ina funzo kwenye maisha nje ya Soka.