Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
Movie ya Jumong mbona ndiyo movie ambayo nasikia inaongoza kwa mauzo
KweliMoja ya sababu ya stering kuuawa ni kutotaka kuendelea kuigiza hii tamthiliya
+ DONG YI..hatari sana.Jumong na iris ni series za kikorea nilizo zirudia zaid ya Mala 5 na hazijawai kuniboa
Search dramacool.com utaipata huko na nyingine nyingi unaweza kudownload au kuchek liveDah nmeichek vipande kadhaa tu nikijua nitapata nzima muda wwte ila sijafanikiwa, naweza kupata wapi hii seriese pamoja na zingine za kikorea???
Zipo action,story kali,na crimesHiyo Golden cross na Innocent defendant zina mkono kama IRIS au kuna bunduki za vita vita tupu na hadithi kama simulizi za mapenzi?
Dah nmeichek vipande kadhaa tu nikijua nitapata nzima muda wwte ila sijafanikiwa, naweza kupata wapi hii seriese pamoja na zingine za kikorea???
Yas mkuu, Iris ndo imenifanya nipende serieses za wakoreaKama una telegram na unapenda kitonga kama mimi zama hapo.
@koreandramasworld
Thanks mkuu ngoja nikaichekiSearch dramacool.com utaipata huko na nyingine nyingi unaweza kudownload au kuchek live
Love story in HarvardJumong ilipelejea kuangalia hizi series za kikorea, tokea hapo nimeangalia series na drama nyingi sana za kikorea mpaka zingine nimezisahau.
1. City Hunter
2. Iris 1&2
3. Athena
4. Six dragon fry
5. Dong Yi
Inji hii bhana inakataza kufanya maigizo yoyote yawe ya luninga au sauti yanayoendana na majukumu ya vyombo vya ulinzi na usalama. Kufanya ivo ni kosa kwa mujibu wa sheria ya usalama wa Taifa nimesahau ni sheria namba ngapi na ya mwaka gani. Kuangalia bongo muvi heri waninyonge. Licha ya vikwazo vya technolojia wanayotuma watu wa hongo muvi lakin bado sheria za nchi zinawabana sana hata kufanya ubunifu walau kulingana na mazingira yaliopoMara ya kwanza kucheki Korea series ilikuwa Athena,sikudhani kama kutakuwa na series kali kama hiyo.
Ila huo mzigo wa Iris ni ilikuwa ni shida nyingine,kuanzia sterling hadi adui wana balaa.Mzee baba Baek San,Kim Sun Hwa,Jin Sa Woo,Choi Seung Hee na yule Dr kichaa wa kule NSS bado kule North Korea na Security Service yao na yule boss wao,mtaalam wa machare kama yote vile.
Love story kali,action kali,matumizi ya akili makubwa mno. Huwezi kupredict kinachofuata.
Nilikuwaga naangalia na sister angu home,kuna kipindi alikuwa analia sana jinsi Kim Hyun Jan alivyokuwa anateseka na maisha yake ya kusalitiwa.
Sema wazee mapenzi ni matamu sana na yana nguvu mno. Ila vipi TISS wetu sijui wapo kama vile kwenye recruitment hadi kufanya kazi. Na IRIS wa nchi yetu sijui ni wakina nani.
Kwa nini na sisi tusiandike movie kali kama ile moja tu.Kila siku tuna deal na mapenzi tu. At least vipepeo weusi The Bold alitupa utamu kunoga.
IRIS itabaki kuwa IRIS tu,ila Athena na yenyewe ni shida nyingine wazee.
Kuna ile scene wanavamia mall magaidi naona magaidi wa Kenya walicopy walipovamia Westgate mall.Ni series moja Matata sana