Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 52,075
- 2,000
Hapa ni nyumbani kwa Rais mstaafu Mwinyi

nimegundua Mwinyi si mdini kama JK, na hakuna udini nchini kama jk anavyousimulia!
Kama ni nyumbani kwa mzee ruksa mbona wageni hawajavua viatu!
Yaani, Alhaji Mwinyi kasimamia imani yake (bila viatu kapetini) na wazee wamekomaa na viatu kapetini.
kiboko ya Mwinyi ni huyu hapa.
![]()
haujiulizi kwa nini jamaa wametinga na viatu kwenye kapeti la mwinyi? mbona yeye haaingia na viatu.Hakuna jipya ninaloliona
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us
Thread starter | Title | Forum | Replies | Date |
---|---|---|---|---|
![]() |
Nikitu gani umegundua katika picha hii? Umejifunza nini? | Jamii Photos | 4 | |
![]() |
Umegundua nini hawa mabeberu BBC | Jamii Photos | 11 | |
![]() |
Ubunifu umegundua Nini kwenye hii picha | Jamii Photos | 12 | |
![]() |
Umegundua nini apo? | Jamii Photos | 7 | |
![]() |
UMEGUNDUA NINI HAPA | Jamii Photos | 22 |