sylvesterleonce
Member
- Oct 12, 2010
- 29
- 0
piga kelele usichoke kuwa kuna haja kubwa kwa sasa kuwa na maridhiano ya kitaifa wananchi tumesha jeruhiwa sana kisiasa kiuchumi na kijamii dawa ni MARIDHIANO JK kaanza vizuri kwa kutamka kuwa wote tumeshinda kilichobaki wakae na DWPS Waangalie tulikotoka tuko wapi na tunaelekea wapi waachane na wote wenye misimamo mikali mtaandika historia mpya nchini atakaye kataa MARIDHIANO ni adui no MOJA wa taifa hili KILA MWENYE MWILI AU MALAIKA/JINI HAPA TANZANIA TUSEME AMINA IISHI TANZANIA WAISHI WATANZANIA