Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Tuanze na maana halisiya DEMOKRASIA:
Democracy :
is a form of government in which the people have the authority to choose their governing legislation. Who people are and how authority is shared among them are core issues for democratic theory, development and constitution. Cornerstones include freedom of assembly and speech, inclusiveness and equality, membership, consent, voting, right to life and minority rights.
Ref : Wikipedia
Wadau nimelileta hapa hili somo ili lidadavuliwe na thinkers hapa JF, hasa wakati hu wa uchaguzi.
Kwa maoni yako, je tunaishi sawasawa na hiyo dhana ya demokrasia?
Na je utatoa maksi ngapi kwa demokrasia nchini, iwe ndani ya vyama kuwapata wawakilishi hadi ngazi ya kata, vijiji , wilya miko na hata ngazi ya Taifa.
Kwa viwango vya Afrika , bado Tanzania tuko juu sana katika kuiishi demokrasia kulinganisha na nchi nyingi sana.
But are we living democratically?
Democracy :
is a form of government in which the people have the authority to choose their governing legislation. Who people are and how authority is shared among them are core issues for democratic theory, development and constitution. Cornerstones include freedom of assembly and speech, inclusiveness and equality, membership, consent, voting, right to life and minority rights.
Ref : Wikipedia
Wadau nimelileta hapa hili somo ili lidadavuliwe na thinkers hapa JF, hasa wakati hu wa uchaguzi.
Kwa maoni yako, je tunaishi sawasawa na hiyo dhana ya demokrasia?
Na je utatoa maksi ngapi kwa demokrasia nchini, iwe ndani ya vyama kuwapata wawakilishi hadi ngazi ya kata, vijiji , wilya miko na hata ngazi ya Taifa.
Kwa viwango vya Afrika , bado Tanzania tuko juu sana katika kuiishi demokrasia kulinganisha na nchi nyingi sana.
But are we living democratically?