hilo tangazo limekosea, hauwezi kuelewa kwa maneno hayo ila walikuwa wanamaanisha:-
hapo walipo kuna ofisi ambayo wanajishughulisha kupanga rangi, katika eneo unalotaka, ila wamekosea hawajaeleza rangi gani ya nyumba au gari kwa sababu huwezi ukawa na biashara ya kupaka rangi za nyumba, magari, kucha, mwili, etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.