Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Linapokuja suala la kuingia kwenye Ujasiriamali wengi wetu tuna kawoga na hatupendi kujaribu lakini jee usipojaribu utawezaje?
Wengine wetu bado tuna mindset ya kuajiriwa, wako tunaosubiri wakati muafaka na biashara ya uhakika, wengine tunaogopa kufilisika na majanga mengine. Kwaufupi tume-base sana kwenye negative mindset.
Mjasiriamali anatakiwa awe MJASIRI na asiyeogopa , wale wajasiriamali wazoefu wanajua kwamba "biashara haikupatii mafanikio bali wewe kwa juhudi zako ndio unaifanikisha biashara"
Kwa kupata mwamko zaidi soma hapa: How to Overcome Startup Fears
Wengine wetu bado tuna mindset ya kuajiriwa, wako tunaosubiri wakati muafaka na biashara ya uhakika, wengine tunaogopa kufilisika na majanga mengine. Kwaufupi tume-base sana kwenye negative mindset.
Mjasiriamali anatakiwa awe MJASIRI na asiyeogopa , wale wajasiriamali wazoefu wanajua kwamba "biashara haikupatii mafanikio bali wewe kwa juhudi zako ndio unaifanikisha biashara"
Kwa kupata mwamko zaidi soma hapa: How to Overcome Startup Fears