Umechelewa kuleta posa

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
495
375
Wadau!

Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.
 
Shukuru mkuu wamekuambia ukweli, jipange tafuta msichana/mwanamke mwingine na ufuate taratibu zote.Amini kuna jambo umeepushiwa.!

Wadau!

Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mm nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.
 
usilazimishe oa kwingine ndugu,huyo mwanamke sio mbuzi wa mnada kwamba ulichelesha kulipa bei yake
 
kumbe umekosa mke na ndio umemaliza ujenzi juzi juzi tu.! subiri sever ya pm zako itakavyojaa mbona wapo humu wengi tu
 
Wadau!

Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.

kila lkuepukalo basi una kheri nalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom